mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,365
Hivi Tanzania hatuwezi kulima ngano, maana tunanunua ngano nyingi sana nje, hizo feza zingebakia hapa.
Ardhi ipo ya kutosha ni. Serikali tu kuweka mipango na kuwawezesha watu. Hizi pesa anazotumia bakharesa kununua ngano Urusi zingerudi kwa watanzania na nchi ingepiga hatua, nimeona watanzania wengi sana hawajaamini kuwa ngano karibu yote inayotumika Tanzania tunaagiza nje.
Pia serikali imetenga ardhi kubwa na ambayo ni potential kwa kilimo Kama hifadhi au pori , serikali ibadili baadhi ya maeneo haya Ila watu wakalime, unahifadhi Nini watu hawana pesa na Wana njaa, serikali ifanye kitu. Mabeberu hayataki tulime hayo maeneo Ili tuendelee kuagiza ngano kwao
Ardhi ipo ya kutosha ni. Serikali tu kuweka mipango na kuwawezesha watu. Hizi pesa anazotumia bakharesa kununua ngano Urusi zingerudi kwa watanzania na nchi ingepiga hatua, nimeona watanzania wengi sana hawajaamini kuwa ngano karibu yote inayotumika Tanzania tunaagiza nje.
Pia serikali imetenga ardhi kubwa na ambayo ni potential kwa kilimo Kama hifadhi au pori , serikali ibadili baadhi ya maeneo haya Ila watu wakalime, unahifadhi Nini watu hawana pesa na Wana njaa, serikali ifanye kitu. Mabeberu hayataki tulime hayo maeneo Ili tuendelee kuagiza ngano kwao