Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Iko wazi wanasubiri Arsenal achezee vichapo waanze kuandika kua Sanchez alikua kila kitu wanatamani sana tupigwe wanaumia kua tumeshinda mechi mbili mfululizo tena style (Palace kala 4) na tumeshinda London Derby.
Achana na ndorobo hao, ebu endelea kupekuwa huko utujuze habari za Pierre-Emerick Aubameyang...
 
Aubameyang to Arsenal: Arsene Wenger very confident of deal, debut already being planned Aubameyang to Arsenal: Arsene Wenger very confident of deal, debut already being planned

Arsenal boss Arsene Wenger eyeing swoop for Corinthians' Brazilian wonderkid Maycon Arsenal boss Arsene Wenger eyeing swoop for Corinthians' Brazilian wonderkid Maycon
nintchdbpict000380380807.jpg



Arsenal's next transfer target revealed after Aubameyang Arsenal's next transfer target revealed after Aubameyang
 
Zituume kwa sababu gani haswa, ametukuta tunacheza UEFA anaondoka anatuacha EUROPA, alipokuja tulikuwa hatutoki top 4 anatuacha tunang'ang'ana na nafasi ya sita jua letu mvua yetu muache aende mwanakwenda
Sawa nasi tumempokea.
 
kwa wale wapenzi wote wajuzi wa soka
ukweli ni kuwa mourinho anasumbuliwa na frustration za moto wa guardiola hadi ameingia chaka kwa sanchez. sanchezi ni kiazi kwa sasa na hatoipa mafanikio yoyote man u

mwezi wa tano mwaka huu 2018 atakuwa na excuse
lakini wadau tukutane tena 2019 na tuone jinsi garasa sanchez atavyochemsha

mourinho hakuwa na haja ya kulipa mapesa yote hayo kwa wiki kwa sanchezi amechemsha

wenger kamuingiza chaka mourinho na kampa bomu ambalo litakuja kumlipukia na huko aliko ni kama vile namuona mzee wenger anavyomcheka kimya kimya adui yake

mark my word!
 
Auba huko mazungumzo yanaendaje tunampata?

Ubahili ndio kikwazo ndugu yangu,Arsenal wamegoma kufika 70 ambayo Dortmund wanataitaka tumekomaa na 58 mbaya zaidi Wenger kasema timu iko sawa bila uyo Auba.
Tuombe walegeze mioyo maana Auba amewatibua Dortmund kwa utovu wa nidhamu anaamini tunamsajili tukiendeleza wehu wetu tunaweza kumkosa kibwege tu.
 
Ubahili ndio kikwazo ndugu yangu,Arsenal wamegoma kufika 70 ambayo Dortmund wanataitaka tumekomaa na 58 mbaya zaidi Wenger kasema timu iko sawa bila uyo Auba.
Tuombe walegeze mioyo maana Auba amewatibua Dortmund kwa utovu wa nidhamu anaamini tunamsajili tukiendeleza wehu wetu tunaweza kumkosa kibwege tu.
70? Na wenyewe waache wehu yaani toka 60 mpaka 70 angalau kwa 60 tulikuwa tunawasogelea
 
70? Na wenyewe waache wehu yaani toka 60 mpaka 70 angalau kwa 60 tulikuwa tunawasogelea
Vigeugeu wale yaani tukipanda na wao wanapanda,alafu bado wanamtaka na OG katika hilo dili aende kwao kwa mkopo mpaka mwishoni wa msimu pumbavu sana hao jamaa
 
Back
Top Bottom