Apps zinazohamasisha ushoga zifungiwe

Ushoga sio Tatzo kwa kuwa hakuna anaelazimishwa kuwa shoga, cha msingi tusiopendelea hizo mambo ni mda wa kuwa makini na vizazi vyetu na watoto wetu kuwafundisha umhimu wa kuwa wanaume,

Haya mambo ya haki sawa ya mke na mme ndio chanzo cha ushoga maana yanadumaza mamlaka ya mwanamme aliyopewa na mungu.
Siku zote ili ushoga uishe lazima jamii zikubali kurudisha mifumo Dume, kwa kuwa mwanamme atavyochukuliwa katika jamii inasaidia wanaume kutambua umhimu wa uanaume wao,

Sehem anbayo shetani amefauru kwa 100% kuidanganya dunia na hata kurubuni madhehebu mengi na dini nyingi na watu kukubali kirahisi kwenda motoni ni kuruhusu mambo ya Gender equality hilo ni kosa kubwa ambao ni moja ya ukosoaji wa kazi ya mumgu, mumgu akiumba mwanamke kama kiumbe dhaifu na kama msaidizi wa mwanaume lakini leo shetani ameingiza propaganda misikitini na hata makanisani na katika jamii kiujumla kumpa mwanamke mamlaka sawa na mwanaume,

Wenye vichwa vyepesi wanaweza wasielewe hii propaganda kuwa ni sera ya kushetani na sera ya kupotosha jamii, leo hii mtoto wa kiume anakuwa akifundishwa shughuli na mifumo ambayo hairuhusiwi na haitakiwi kuifanya kulingana na jinsia yake, hapo anashindwaje kupelekewa moto??

Au mwanamke anakuwa akifundishwa mifumo na shughuli za kiume atashindwaje kusaga wanawake wenzake??

Hii mada huwa nilishajaribu kuitolea ufafanuzi mara kibao humu ila Moods wanafuta nyuzi zangu, maana hata wao ni miongoni mwa jamii iliyoingiziwa kirusi vichwani cha kuamini haki sawa kwa me na ke ni mipango ya mungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom