This is...
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,911
- 4,993
Nini kimekuleta humu mpumbavu kabisa wewe.Nikiona mtu anatoa povu kisa boli huwa naona kama sjui n mtu gan ....
Whatever the performance the guys wl be paid ..but wat about your family??
Wewe familia yako imefaidiaka nn wewe kukomenti humu.
Familia yako inafaidika nn wewe kuwa humu jukwaani jamii forum
Ni mangapi unayofanya ambayo family yako unafaidika.
Hiyo hela yabando kwanini Basi hukununua hata mkate ukapelekea wanao.
Mpira ni burudani km ambavyo ww umalaya ulivyo burudani kwako.
Acha kupangia watu maisha.
Wewe maisha ulisomea chuo gani? Hadi ukayapatia!