Hongera Yanga! Mmeonesha mna na timu ya aina gani. Nawaona mbali ndani ya miaka 2 ijayo kwa ubora wenu

Majok majok

JF-Expert Member
Aug 3, 2023
626
1,618
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi, wachezaji, wanachama na mashabiki wa yanga popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao ndani na nje ya nchi.

Kusema na ukweli yanga imetengeneza timu ambayo inaanza kuwa tishio barani afrika kwa timu zote, pamoja na uchanga wake kwenye michuano ya kimataifa wameweza kuweka statement ya nguvu ndani ya misimu miwili kwa kukusanya point 31 kwenye rank za caf sio jambo dogo.

Ndani ya misimu miwili wamecheza fainali ya kombe la shirikisho barani afrika na kucheza robo fainali ya klabu bingwa barani afrika na kuondolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penalty uku goli lao halali likikataliwa.

Yanga kacheza mechi zote 2 akiwa anawakosa wachezaji wake 3 muhimu uku Mamelod wakiwa full mkoko!
Yanga ajaruhusu goli lolote dhidi ya Mamelod timu ambayo ni Bora barani afrika kwa sasa wakiwa ni mabingwa wa AFL msimu huu.

Ni maboresho machache yanatakiwa kufanyika hasa kwenye Safu ya ushambuliaji ili kuleta balance kwenye mechi kubwa ambazo kupata nafasi moja ni muhimu kuitumia ipasavyo!

Yanga wanaonyesha mwanga na project yao inazidi kuwalipa wanasonga mbele Tena kwa Kasi ya kimondo wanaobeza waendelee kubeza wakija kushtuka watakuwa wamechelewa wenzao wanafanya kwa vitendo wao wanafanya kwa propaganda za mdomoni.

N;B waliofungwa nje ndani ni Bora wakae kimya maana manzoki aliyesajiliwa amewafungia magoli ya kutosha mpaka hapo walipofikia.
 
Umeanza vizuri Umemaliza vibaya.

Ila jaribu kuangalia uandishi wako, uwe na mvuto na kumshawishi msomaji kusoma.
Hujui mpangilio wa maneno, herufi ,koma nukta nk.


N.B
Viongozi wetu na baadhi ya mashabiki waliomba sana tupangiwe Mamelody dio hiyo sasa.
 
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi, wachezaji, wanachama na mashabiki wa yanga popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao ndani na nje ya nchi!
Kusema na ukweli yanga imetengeneza timu ambayo inaanza kuwa tishio barani afrika kwa timu zote, pamoja na uchanga wake kwenye michuano ya kimataifa wameweza kuweka statement ya nguvu ndani ya misimu miwili kwa kukusanya point 31 kwenye rank za caf sio jambo dogo!
Ndani ya misimu miwili wamecheza fainali ya kombe la shirikisho barani afrika na kucheza robo fainali ya klabu bingwa barani afrika na kuondolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penalty uku goli lao halali likikataliwa!
Yanga kacheza mechi zote 2 akiwa anawakosa wachezaji wake 3 muhimu uku Mamelod wakiwa full mkoko!
Yanga ajaruhusu goli lolote dhidi ya Mamelod timu ambayo ni Bora barani afrika kwa sasa wakiwa ni mabingwa wa AFL msimu huu!
Ni maboresho machache yanatakiwa kufanyika hasa kwenye Safu ya ushambuliaji ili kuleta balance kwenye mechi kubwa ambazo kupata nafasi moja ni muhimu kuitumia ipasavyo!

Yanga wanaonyesha mwanga na project yao inazidi kuwalipa wanasonga mbele Tena kwa Kasi ya kimondo wanaobeza waendelee kubeza wakija kushtuka watakuwa wamechelewa wenzao wanafanya kwa vitendo wao wanafanya kwa propaganda za mdomoni!

N;B waliofungwa nje ndani ni Bora wakae kimya maana manzoki aliyesajiliwa amewafungia magoli ya kutosha mpaka hapo walipofikia!
Mwakarobo Jr.

Mnachoweza kutamba ni kujiita kajina ka kiigereza ili kujitofautisha na Simba. " junior"

Ila kwa ujumla ni mwakarobo jr
 
Andiko Zurich lkn edit hiyo ongera weka hongera, .com nyie mnatuharibia sana luggage yetu. Hata walimu wenu chenga sana
 
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi, wachezaji, wanachama na mashabiki wa yanga popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao ndani na nje ya nchi!
Kusema na ukweli yanga imetengeneza timu ambayo inaanza kuwa tishio barani afrika kwa timu zote, pamoja na uchanga wake kwenye michuano ya kimataifa wameweza kuweka statement ya nguvu ndani ya misimu miwili kwa kukusanya point 31 kwenye rank za caf sio jambo dogo!
Ndani ya misimu miwili wamecheza fainali ya kombe la shirikisho barani afrika na kucheza robo fainali ya klabu bingwa barani afrika na kuondolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penalty uku goli lao halali likikataliwa!
Yanga kacheza mechi zote 2 akiwa anawakosa wachezaji wake 3 muhimu uku Mamelod wakiwa full mkoko!
Yanga ajaruhusu goli lolote dhidi ya Mamelod timu ambayo ni Bora barani afrika kwa sasa wakiwa ni mabingwa wa AFL msimu huu!
Ni maboresho machache yanatakiwa kufanyika hasa kwenye Safu ya ushambuliaji ili kuleta balance kwenye mechi kubwa ambazo kupata nafasi moja ni muhimu kuitumia ipasavyo!

Yanga wanaonyesha mwanga na project yao inazidi kuwalipa wanasonga mbele Tena kwa Kasi ya kimondo wanaobeza waendelee kubeza wakija kushtuka watakuwa wamechelewa wenzao wanafanya kwa vitendo wao wanafanya kwa propaganda za mdomoni!

N;B waliofungwa nje ndani ni Bora wakae kimya maana manzoki aliyesajiliwa amewafungia magoli ya kutosha mpaka hapo walipofikia!
Timu ya Mpira haiko unavyodhan Mkuu, Wachezaji waandamizi wawili au watatu wanaweza sajiliwa kwingine ukashangaa timu ikawa mbovu mpaka ushangae.
Lets Say Diara na Aziz Ki waondoke! Mzee hilo pengo utajitafuta haswa.
Hao Simba unaowakejeli, wamefanya hicho alichofanya Yanga mara 5!
Na mwaka jana pia alitolewa kwa Penat na Wydad sio hawa wacheza Amapiano! Lkn mlikuwa mnaona izze. Mind you muda ni mwalimu mzuri.
 
Timu ya Mpira haiko unavyodhan Mkuu, Wachezaji waandamizi wawili au watatu wanaweza sajiliwa kwingine ukashangaa timu ikawa mbovu mpaka ushangae.
Lets Say Diara na Aziz Ki waondoke! Mzee hilo pengo utajitafuta haswa.
Hao Simba unaowakejeli, wamefanya hicho alichofanya Yanga mara 5!
Na mwaka jana pia alitolewa kwa Penat na Wydad sio hawa wacheza Amapiano! Lkn mlikuwa mnaona izze. Mind you muda ni mwalimu mzuri.
Sisi atuongelei mafanikio ya miaka 5 iliyopita tunaongelea current performance ambayo ndiyo inatoa matokeo, uwezi kusema eti Simba alifanya hivi kipindi kile na Sasa anafanyaje? Kukosa key prayers wako wa kikosi Cha kwanza usidhani ni jambo dogo kiufundi, kitendo icho kinafanya kocha abadili mbinu zake nyingi ili kuendana na wachezaji alionao na awezi kucheza mpira aliouzoea!
 
Bado haijafikia kiwango kama cha Simba kimataifa, waendelee tu kujitafuta
Point ulizotengeneza wewe Simba miaka 5-6 Yanga katengeneza miaka miwili tu.
Utasemaje hajaifikia Simba!?
Embu kuwa serious mkuu.
31 points ndani ya miaka 2 unasema bado hajafika ulipo!??
 
Point ulizotengeneza wewe Simba miaka 5-6 Yanga katengeneza miaka miwili tu.
Utasemaje hajaifikia Simba!?
Embu kuwa serious mkuu.
31 points ndani ya miaka 2 unasema bado hajafika ulipo!??
Punguza makasiriko Mwakarobo jr bado anatambaa bado ni mdogo wa kubebwa, hana lolote.
 
Punguza makasiriko Mwakarobo jr bado anatambaa bado ni mdogo wa kubebwa, hana lolote.
Ongea mpira mkuu tupunguze ushabiki.
Kwa misimu hii miwili tu Ya jana Yanga kufuka fainali CAFCC na msimu huu kufika robo imeonesha kuwa ni timu tishio kuliko hata Simba.
Tizama Simba robo fainali ulizotolewa umetolewawje.
Robo fainali mbili tu ndio nakupongeza,dhidi ya Wydad casablanca na ingine dhidi ya Orlando.
Ila tizama zingine ulivyoruhusu magoli mengi ikiwemo ya Kaizer chiefs kwa kufungwa 4-0.
 
Si tulikubaliana kuwa nyinyi hamna mambo ya kufa kiume?
 
Timu ya Mpira haiko unavyodhan Mkuu, Wachezaji waandamizi wawili au watatu wanaweza sajiliwa kwingine ukashangaa timu ikawa mbovu mpaka ushangae.
Lets Say Diara na Aziz Ki waondoke! Mzee hilo pengo utajitafuta haswa.
Hao Simba unaowakejeli, wamefanya hicho alichofanya Yanga mara 5!
Na mwaka jana pia alitolewa kwa Penat na Wydad sio hawa wacheza Amapiano! Lkn mlikuwa mnaona izze. Mind you muda ni mwalimu mzuri.
Tofauti Simba Kila akifika robo anakojolewa nje ndani
 
Safari bado ni ndefu, ili timu zetu zifanikiwe zinapaswa kujifunza kwa waliofanikiwa.
 
Nakazia 🐸🐸 bado sana kufikia level ya Simba kimataifa
Ongea mpira mkuu tupunguze ushabiki.
Kwa misimu hii miwili tu Ya jana Yanga kufuka fainali CAFCC na msimu huu kufika robo imeonesha kuwa ni timu tishio kuliko hata Simba.
Tizama Simba robo fainali ulizotolewa umetolewawje.
Robo fainali mbili tu ndio nakupongeza,dhidi ya Wydad casablanca na ingine dhidi ya Orlando.
Ila tizama zingine ulivyoruhusu magoli mengi ikiwemo ya Kaizer chiefs kwa kufungwa 4-0.
 
Kwanza kabisa nichukue nafasi hii kuwapongeza viongozi, wachezaji, wanachama na mashabiki wa yanga popote pale walipo kwa kuiunga mkono timu yao ndani na nje ya nchi.

Kusema na ukweli yanga imetengeneza timu ambayo inaanza kuwa tishio barani afrika kwa timu zote, pamoja na uchanga wake kwenye michuano ya kimataifa wameweza kuweka statement ya nguvu ndani ya misimu miwili kwa kukusanya point 31 kwenye rank za caf sio jambo dogo.

Ndani ya misimu miwili wamecheza fainali ya kombe la shirikisho barani afrika na kucheza robo fainali ya klabu bingwa barani afrika na kuondolewa kwa changamoto ya mikwaju ya penalty uku goli lao halali likikataliwa.

Yanga kacheza mechi zote 2 akiwa anawakosa wachezaji wake 3 muhimu uku Mamelod wakiwa full mkoko!
Yanga ajaruhusu goli lolote dhidi ya Mamelod timu ambayo ni Bora barani afrika kwa sasa wakiwa ni mabingwa wa AFL msimu huu.

Ni maboresho machache yanatakiwa kufanyika hasa kwenye Safu ya ushambuliaji ili kuleta balance kwenye mechi kubwa ambazo kupata nafasi moja ni muhimu kuitumia ipasavyo!

Yanga wanaonyesha mwanga na project yao inazidi kuwalipa wanasonga mbele Tena kwa Kasi ya kimondo wanaobeza waendelee kubeza wakija kushtuka watakuwa wamechelewa wenzao wanafanya kwa vitendo wao wanafanya kwa propaganda za mdomoni.

N;B waliofungwa nje ndani ni Bora wakae kimya maana manzoki aliyesajiliwa amewafungia magoli ya kutosha mpaka hapo walipofikia.
asante kwa kutusifia
 
Back
Top Bottom