Angalizo kwa wote wanaotaka kufanya uchafu siku ya leo

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Sep 7, 2016
17,769
21,674
Sina maneno mengi sana ila tu ninapenda kuwakumbusha kumuasi Mungu siku ya leo ni sawa na kumuasi Mungu siku ya Qiyama.

Kama wewe muislamu umefunga siku 30 na ukaweka nadhiri kufanya mambo yasiyo mpendeza Mungu siku ya leo mfano kuzini, kunywa pombe, kudhulumu nk elewa ni sawa na umemuasi Mungu siku ya Qiyama.

Hivyo ili kuzilinda funga zenu hakikisheni hamfanyi mambo machafu msije funga zenu zikawa sawa na bure.
 
Sina maneno mengi sana ila tu ninapenda kuwakumbusha kumuasi Mungu siku ya leo ni sawa na kumuasi Mungu siku ya Qiyama.

Kama wewe muislamu umefunga siku 30 na ukaweka nadhiri kufanya mambo yasiyo mpendeza Mungu siku ya leo mfano kuzini, kunywa pombe, kudhulumu nk elewa ni sawa na umemuasi Mungu siku ya Qiyama.

Hivyo ili kuzilinda funga zenu hakikisheni hamfanyi mambo machafu msije funga zenu zikawa sawa na bure.
Vitisho vikali tumekuelewa
 
Sina maneno mengi sana ila tu ninapenda kuwakumbusha kumuasi Mungu siku ya leo ni sawa na kumuasi Mungu siku ya Qiyama.

Kama wewe muislamu umefunga siku 30 na ukaweka nadhiri kufanya mambo yasiyo mpendeza Mungu siku ya leo mfano kuzini, kunywa pombe, kudhulumu nk elewa ni sawa na umemuasi Mungu siku ya Qiyama.

Hivyo ili kuzilinda funga zenu hakikisheni hamfanyi mambo machafu msije funga zenu zikawa sawa na bure.
Chai...cc Hance Mtanashati
 
Kwani hizo funga ndio ziliwatenga na uovu mwezi mzima? Uovu ni wa kukemewa siku zote, hauna siku maalumu wala mwezi maalumu. Imani zingine zipo duniani ni za ajabu sana. Dhambi zinatakiwa kuachwa siku zote za maisha hazina siku maalumu kuachwa
 
Tumekuelewa mkuu...
Sisi waungwana kazi tutaianza 00:01 usiku...
 
Aliyeleta dini ajue kuwa alituletea Addiction moja ya ajabu sana kama ingekuwa ni pombe basi mpishi huyu alijua kuipika kisawasawa na sasa imewalevya vibaya wanywaji wake
 
Nko Morogoro .... apa mtaani vyumba vya kulala wageni vishajaaa

michepuko inasema imewamisi sana mabeiby zaoo (waume za wenzao)
 
Sina maneno mengi sana ila tu ninapenda kuwakumbusha kumuasi Mungu siku ya leo ni sawa na kumuasi Mungu siku ya Qiyama.

Kama wewe muislamu umefunga siku 30 na ukaweka nadhiri kufanya mambo yasiyo mpendeza Mungu siku ya leo mfano kuzini, kunywa pombe, kudhulumu nk elewa ni sawa na umemuasi Mungu siku ya Qiyama.

Hivyo ili kuzilinda funga zenu hakikisheni hamfanyi mambo machafu msije funga zenu zikawa sawa na bure.
Leo ni siku ya kila mtu kufurahi na demu wake.
Ila aelewe "demu" naaman yake nino. "Demu" ni mwanamke mcha Mungu. Huyo ndiye unaepaswa kuwa na uhusiano naye. Kama huwezi kumpata huyo,basi,barmaid yoyote anatosha .
 
Sina maneno mengi sana ila tu ninapenda kuwakumbusha kumuasi Mungu siku ya leo ni sawa na kumuasi Mungu siku ya Qiyama.

Kama wewe muislamu umefunga siku 30 na ukaweka nadhiri kufanya mambo yasiyo mpendeza Mungu siku ya leo mfano kuzini, kunywa pombe, kudhulumu nk elewa ni sawa na umemuasi Mungu siku ya Qiyama.

Hivyo ili kuzilinda funga zenu hakikisheni hamfanyi mambo machafu msije funga zenu zikawa sawa na bure.
Natamani hizi nadhiri ziwe kwa siku zote za maisha ya mwanadamu, tuache kumuasi Mwenyezi Mungu, na tuwe wema baina yetu, kama inawezekana kwa siku 30, kwa nini tusiendeleze?
 
Sina maneno mengi sana ila tu ninapenda kuwakumbusha kumuasi Mungu siku ya leo ni sawa na kumuasi Mungu siku ya Qiyama.

Kama wewe muislamu umefunga siku 30 na ukaweka nadhiri kufanya mambo yasiyo mpendeza Mungu siku ya leo mfano kuzini, kunywa pombe, kudhulumu nk elewa ni sawa na umemuasi Mungu siku ya Qiyama.

Hivyo ili kuzilinda funga zenu hakikisheni hamfanyi mambo machafu msije funga zenu zikawa sawa na bure.
Wahakikishe wamevaa mavazi ya kiarabu na makobazi, wahakikishe wamefuga ndevu pia.
 
Back
Top Bottom