Amelina nisaidie jinsi ya kutoa yale maganda kwa urahisi maana siku moja niilijaribu kupika niliziloweka usiku wote halafu asubuhi nikawa natoa maganda kwa mkono nilipochoka nikazisaga hivyohivyo. hazikunipendeza hata kidogo kwa ajili ya ule muonekano wa magandamaganda na bahati mbaya nilikula zikanivuruga tumbo. ila nazipenda sana.
du kweli asante umenifungua macho na kuongeza ufahamu kwenye ubongo lazima hili pishi niliwin.pole sana mwaya, kuna kunde za aina mbili, kuna zile nyembabaa ambazo kweli zinasumbua sana maana ni ngumu kwelikweli zinakua kama choroko hivi, halafu kuna zile kubwa kias ila hazifikii ukubwa wa mbaazi, zile ni laini na ukiziloeka weka chumvi kidogo na asubuhi ukizifikicha zinatoka kwa urahis kabisa. zile nyembaba zinasumbua. ukisaga na maganda zinapoteza ladha kias fulani..best of luck
Jamani nimeloweka kunde tokea asubuhi ili niandae bagia...naona uvivu kuzisaga nitengeneze bagia sasa...vipi nikiendelea kuziloweza hadi kesho asubuhi nitakuwa nimeharibu?
cc farkhina...mwari wako mvivuuuuu!
Ahhahahahaha mwari kila siku huishi kuntia aibu weye
Jamani nimeloweka kunde tokea asubuhi ili niandae bagia...naona uvivu kuzisaga nitengeneze bagia sasa...vipi nikiendelea kuziloweza hadi kesho asubuhi nitakuwa nimeharibu?
cc farkhina...mwari wako mvivuuuuu!
Hua hazina neno ila uwe unazibadili maji.....
Thanx...ila asubuhi nlikuta zimeanza kuota ...lol...nikazitia pilau masala kupunguza ladha ya uchachuu....zilikuwa tamu.
Kuna ambazo huuzwa sokoni zikiwa zimeshatolewa maganda ingawa huwa bei juu kidogo uwe unatafuta hizo kama huitaji usumbufuAmelina nisaidie jinsi ya kutoa yale maganda kwa urahisi maana siku moja niilijaribu kupika niliziloweka usiku wote halafu asubuhi nikawa natoa maganda kwa mkono nilipochoka nikazisaga hivyohivyo. hazikunipendeza hata kidogo kwa ajili ya ule muonekano wa magandamaganda na bahati mbaya nilikula zikanivuruga tumbo. ila nazipenda sana.