Anahitaji mshirika kwenye Biashara

Mparee2

JF-Expert Member
Sep 2, 2012
2,631
4,375
Habari wapendwa,

Kuna rafiki yangu (wa kiume) anahitaji mtu wa kumuonesha njia/kushirikiana naye kwenye Biashara

Na maanisha anahitaji mtu anayefanya Biashara tayari na anayehitaji mtu wachangie mtaji (wakuze mtaji) wafanye wote.

Ni mchapakazi (zote), muaminifu, Elimu kidato channe.

Yupo tayari kwenda mkoa wowote kama atapata mtu sahihi.

Unaweza kunifuata dm kwa maelezo zaidi
 
Habari wapendwa,

Kuna rafiki yangu (wa kiume) anahitaji mtu wa kumuonesha njia/kushirikiana naye kwenye Biashara

Na maanisha anahitaji mtu anayefanya Biashara tayari na anayehitaji mtu wachangie mtaji (wakuze mtaji) wafanye wote.

Ni mchapakazi (zote), muaminifu, Elimu kidato channe.

Yupo tayari kwenda mkoa wowote kama atapata mtu sahihi.

Unaweza kunifuata dm kwa maelezo zaidi
Umri wake mkuu
 
Back
Top Bottom