Mparee2
JF-Expert Member
- Sep 2, 2012
- 2,631
- 4,375
Habari wapendwa,
Kuna rafiki yangu (wa kiume) anahitaji mtu wa kumuonesha njia/kushirikiana naye kwenye Biashara
Na maanisha anahitaji mtu anayefanya Biashara tayari na anayehitaji mtu wachangie mtaji (wakuze mtaji) wafanye wote.
Ni mchapakazi (zote), muaminifu, Elimu kidato channe.
Yupo tayari kwenda mkoa wowote kama atapata mtu sahihi.
Unaweza kunifuata dm kwa maelezo zaidi
Kuna rafiki yangu (wa kiume) anahitaji mtu wa kumuonesha njia/kushirikiana naye kwenye Biashara
Na maanisha anahitaji mtu anayefanya Biashara tayari na anayehitaji mtu wachangie mtaji (wakuze mtaji) wafanye wote.
Ni mchapakazi (zote), muaminifu, Elimu kidato channe.
Yupo tayari kwenda mkoa wowote kama atapata mtu sahihi.
Unaweza kunifuata dm kwa maelezo zaidi