AN OPEN LETTER to BAE Systems: Do not return radar money to Tz Government

Mkuu JF ni tofauti na hizo tradional media zetu. JF ni users generated content. Tatizo sio kuwa serikali kuwafungia. Hii open letter imekaa hapa tokea wiki iliyopita lakini umeshaiona hata kwenye chombo kimoja cha habari cha Tanzania. Unafikiri hajui kama kuna kitu kama hiki kinaendelea hapa? Waandishi kibao wa vyombo vyetu vya habari huwa wanapitia hapa. Wengine ni JF members. Lakini so far they have not done anything.

Tofautisha na vyombo vya habari vya nchi nyingine ambavyo siku hizi vina relay kwenye social media kupata habari. I am sure kama hii issue ingekuwa Kenya traditional media wangekuwa tayari wamesha pick up hii habari.

kuhusu wahandishi wetu kutetea unga au magatezi kupotezea habari za muhimu hapa bongo ni mchezo wa kawaida,
mimi huwa nasema yawezekana ni kutoka na connection zao na watawala sasa au siku za nyuma hivyo wanashindwa kujikwamua.

kwa mfano mpaka sasa hakuna media COVERAGE ya kutosha kuhusu hoja ya BAE zidi ya serikali yaani hiyo pesa kwenda kwenye NGO's
hii kitu ilitakiwa ifanyiwe uchambuzi yakinifu na BAE wangeulizwa ni NGO'S gani wanazungumzia na ni mambo yepi yanapewa vipaumbele ili watu wapate ufahamu zaidi.

mimi napinda serikali kupe hii pesa kwa misingi mikuu ufuatayo
  1. ghalama au bei za miradi ya serikali hiko juu sana kwenye upande wa utawala au uendeshaji mfano nyumba mkandalasi atalipwa pesa ya kufaa mtu kwa ajiri ya huduma yake na mali ghafi kama mabati na mengineyo hisitoshe kuna tenda board hapo watakula posho ndefu
  2. husimamizi wa hicho wanachotaka kufanya ni sawa na hakuna mfano UDOM sasa hivi kuta zinamomonyoka kama imejengwa kwa udongo
  3. rushwa na kutoaminika kwa serikali yetu , hata wakija kushitukiwa wamekula mara nyingi majibu yao ni sijui au tutafuatilia ndio imetoka hiyo
  4. mfatiliaji wa hizo pesa NDUGAI kusema uongo eti wajui wahusika wa ili sakata la rada na wala hajui nani aliojiwa na SFO hali nchi nzima ilijua ni CHENGE na takuruku iliwahi kuwa safisha huu ni USALITI wa hawali kabisa, na kama **** mbunge humu tungeomba aombe maelezo hapo bungeni maana pale alikuwa anongea kama naibu spika na alikuwa kwenye shunguli tulizo mtuma kusema uongo wa wazi vile ni kulidhalilisha zaidi taifa
  5. kwa nini serikali hata kama itadhalaulika kama wanavyofikilia lakini watanzania wakapa neema ya hiyo pesa kutipia NGOs yenyewe haitakia na inasema itazifunga hizo NGO ina maana haina huruma na wananchi wakawaida wanaopa huduma na misaada kila siku kutoka katika hayo mashirika kisa wamepea pesa ambayo wao wanataka kuitafuta.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
June 24th, 2011


To Whom It May Concern

NOT AGAIN: DO NOT RETURN RADAR MONEY TO THE TANZANIAN GOVERNMENT

We are a loose network of Tanzanians around the world bound by a simple desire to see and promote transparency, the rule of law, accountability and responsibility by our leaders to the people of Tanzania. We are not affiliated with any political party in the country. Our members - rich and poor, educated and uneducated, young and poor - are spread along all ideological lines and are representative of the cross section of the country. While some members live abroad, most of them are within the country.

At our initial call for investigation on the purchase of the military radar by the Tanzanian government we had had written an open letter to the British Government in 2007 part of which was read by Mr. Norman Lamp (MP for North Norfolk, Liberal Democrats) on January 30th, 2007. In our letter then we argued that the purchase of the dual use radar was morally and ethically wrong among many other things and we demanded that the British government should initiate an inquiry. We are grateful that our call and that of others made the current situation possible.

It was Ms. Short who declared then that “It was always obvious that this useless project was corrupt”. Mr. Lamb speaking in the House of Commons he bemoaned “That deal was conducted by a British company, and it was sanctioned by the British Government. We owe it to the Tanzanian people to establish the truth of this scandal.”

We have followed closely since then and with keen interest the investigations and its outcome as well as our own government’s shifting positions concerning the civilian-military radar purchase. The voices of Tanzanians at home and abroad from the very beginning in 1999 were loud and clear; they wanted the government to stop the process of procuring Watchman Air Traffic Control System for it was highly overpriced and the environment of its procurement process had all the classical signs of grand corruption#. Our voices were united with those of other activists around the world and some vocal British politicians came out to support our pleas of desperation and opposition of the deal.

We recognize the immense work by Ms. Claire Short (then Secretary of State for International Development) as well as that of Mr. Norman Lamb who prepared an extensive dossier on the case for the House of Commons and who was willing to read part of our initial letter. We recognize as well the voices of some international organizations among them Oxfam, All these voices were ignored and dismissed with ridicule.

The Tanzanian leadership which now demands “respect” from BAE Systems - by asking BAE return the he money to the government - has miserably failed to take legal and strong action against the individuals who were involved in the deal. It has failed to push for extradition of Sailesh Vithlani whose account was suspected of being used to transfer the “extra” money to a group of corrupt elements in the Tanzanian government and who still roams free in the UK. This same government has not brought any serious charges against Vithlani besides charging him in a low court for “lying to investigators”. How can search a government command respect? How can it even use the word “respect” in its official dealing?

Even more, the Tanzanian government is rampant with corruption and has created unchecked culture of misappropriation of public funds at all levels of its structures and has done a mediocre job in prosecuting and curbing the vice. The nation’s Chief Auditor and Controller General annual report testify to this. In the last year alone (2009/2010) over $2 Billion - almost 25 percent of the national budget was lost through corruption.# The current administration has refused to investigate President Mkapa or his then Attorney General Mr. Andrew Chenge for their involvement in the matter.

We recognize that as part of the settlement between BAE Systems and US’s DoJ as well as with British Serious Fraud Office the “the company will pay an agreed penalty of £30M comprising a fine to be determined by the Court with the balance paid as charitable payments for the benefit of he people of Tanzania”. The settlement did not direct BAE to return the balance to the Tanzanian government and there was a good reason for that.

We believe BAE should consider any, some or all of the following venues when deciding where to inject the money for the benefit of Tanzanians; if requested we are willing to propose a mechanism that will be used to ensure the goal of returning the money for the benefit of the people of Tanzania is achieved to the highest degree.

a. Construction or expansion of Business or Law Schools in selected Public universities in Tanzania (mainland and Zanzibar).

b. Financing the rehabilitation, expansion, and modernization of selected ageing hydro-power plants in Tanzania to alleviate the country from another self-inflicted power shortage. The Tanzanian Bi-partisan Parliamentary Committee on Energy and Mining can advise BAE on which plant needs such an immediate rehabilitation and improvement.

c. Modernization and improvement of selected Ward Secondary Schools by providing them with better and improve sanitary environment, secure buildings and needed housing and other facilities to make quality education possible. If only $250,000 were to be spent per each school over 84,000 schools will be brought into the modernity of the twenty first century within few months! By the way we do not have 84,000 ward schools. We only have about 5000 public secondary schools (Ward and Government owned). This simply means even with improving the schools here will be enough money to improve the quality of teachers in these much despised public schools. We believe this will be the most beneficial course of action to the Tanzanian people.

d. Expansion and improvement of some selected Women health facilities some of which have been neglected by the government for quite sometime. Some of these are the Temeke District Hospital as well as Mwananyamala Municipal Hospital. Some of the facilities and infrastructure at these two hospitals are so run down that they have become the pariahs of our national health system.

Of course we understand the opposition of the Tanzanian government to let BAE decide where and how it is going to return the money to the Tanzanian people. The only excuse is that this was “government’s money”. This is a lame and shameful excuse.

However, if the Tanzanian government will be adamant to refuse BAE to spend the money directly to improve the lives of the Tanzanian people then we have the following proposals we beg you to consider.

1. All the funds should be put into an escrow account bearing interests until such a time when there will be a leadership in the country that will be willing to allow BAE spend the money directly to benefit the our people. It doesn’t matter how long that will be.

2. BAE should enter an agreement with the Tanzanian government on selected projects (selected by BAE) that the Tanzanian government will receive returned money in increments (remainder could still be in escrow) and spend it on those projects monitored by negotiated third party to ensure that the value for money standard is met.

3. The government identify a social service project or a number of projects which will benefit in a long-term basis a greater number of a given population (for example not less than 50,000 people) and BAE will underwrite them.

We urge the panel of advisors to reject Tanzanian’s government demand to be awarded the money and that any dispensation of this money will have to directly be beneficial for the people of Tanzania. The money should not be returned to the very people and system that misspent it in the first place. This would be a travesty of justice, a clear and upfront endorsement of a corrupt political regime by the BAE Systems. This must not be allowed to happen. A mechanism and structure should be created that would be transparent, inclusive and with a people-centered mandate to make sure that all the funds returned are used to up-lift the livelihood of the people of Tanzania.


BAE Systems will show itself as a friend to the Tanzanian people by returning all the money due to the Tanzanian people directly by supporting projects that will improve their lives by raising their living standard without subjecting the funds to unneeded and sometime cumbersome bureaucracy of the government institutions and hungry politicians.

We the undersigned as Citizens of United Republic of Tanzania we ask you to consider.


END


For those who want to support this stance:


Copy the following passage:

SUBJECT: OUR VOICE: I Support
Hi,
As a Tanzanian citizen, i want to express my support of the letter sent to you by the Consortium of Concerned Tanzanians International pleading to the Advisory Board NOT to return any money resulting from the agreement with the Serious Fraud Office to the Tanzanian government. Our government has failed to take any serious action against the people involved and it has rejected all demands of investigating former President Mkapa and his administration of their involvement. Its record on the fight against corruption is dismal and negligible. We believe a mechanism outside the bureaucracy of the Tanzania government can be set to channel and monitor how the funds will be spend "for the benefits of Tanzanian people"

Thanks for your support of the people of Tanzania

Your sincerely,

Your Name:


Send to (any or all of them):


Vice Chair of the Advisory Board
Phillipa Foster Back OBE
info@ibe.org.uk

Member of the Advisory Board
lawrence.prior@baesystems.com

Secretary of State for International Development
Hon. Andrew Mitchel
andrew.mitchell.mp@parliament.uk

Hon. Norman Lamb
norman@normanlamb.org.uk

ADD: SEND MESSAGES TO SFO ITSELF;
public.enquiries@sfo.gsi.gov.uk

NB: DO NOT SEND THE WHOLE LETTER; THE LETTER HAS ALREADY BEEN SENT WITH ALL THE CONTACTS FROM US. JUST SEND THE STATEMENT OF SUPPORT.

As ordered By
CONSORTIUM OF CONCERNED TANZANIANS INTERNATIONAL

..And you call ya self a great thinker! how can a great thinker write such a rot? you are ruining the imge of the JF!! kama kuna ki-ngo umeanzisha ukidhani zitapitishiwa kwako, ulie tu. andika kwa kila umdhaniaye hela itakuja serikalini tu. Ningekuona una akili japo kidogo kama unge toa proposal hiyo pesa itumikeje ikija lakini kusema isirudishwe halafu useme una uchungu na nchi si kweli! ww ni sawa na mla rushwa yeyote yule aliyepo TZ. Shame on you and the likes of you!
 
..And you call ya self a great thinker! how can a great thinker write such a rot? you are ruining the imge of the JF!! kama kuna ki-ngo umeanzisha ukidhani zitapitishiwa kwako, ulie tu. andika kwa kila umdhaniaye hela itakuja serikalini tu. Ningekuona una akili japo kidogo kama unge toa proposal hiyo pesa itumikeje ikija lakini kusema isirudishwe halafu useme una uchungu na nchi si kweli! ww ni sawa na mla rushwa yeyote yule aliyepo TZ. Shame on you and the likes of you!

Wewe ndo una matatizo makubwa kuliko unavyojijua. Yaani watu waliiba pesa wakagawana...Sasa wamenaswa na kutakiwa kurudisha pesa za weneyewe. Kati ya BAE na serikali kuna mwenye moral authority ya kudai kugusa pesa hizo? Kama unadhani yupo basi una tatizo kubwa sana au wewe ni miongoni mwa beneficiaries wa hili deal toka mwanzo!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
..And you call ya self a great thinker! how can a great thinker write such a rot? you are ruining the imge of the JF!! kama kuna ki-ngo umeanzisha ukidhani zitapitishiwa kwako, ulie tu. andika kwa kila umdhaniaye hela itakuja serikalini tu. Ningekuona una akili japo kidogo kama unge toa proposal hiyo pesa itumikeje ikija lakini kusema isirudishwe halafu useme una uchungu na nchi si kweli! ww ni sawa na mla rushwa yeyote yule aliyepo TZ. Shame on you and the likes of you!

husipotoshe kwa makusudi hakuna NGO's ya kitanzania itakayopewa hiyo pesa ni zile za UK zinazofanya kazi hapa nchi hiyo BAE wamesha weka wazi.
kumbuka hao BAE ni watu wanadili ma wanajeshi wana CONNECTION za kutosha kupa intellejesia hata kutoka serikali kwetu yawezekana kabisa walishakula news ya matumizi ya hii pesa yakwamba wananchi tunaingizwa tena mjini
 
..And you call ya self a great thinker! how can a great thinker write such a rot? you are ruining the imge of the JF!! kama kuna ki-ngo umeanzisha ukidhani zitapitishiwa kwako, ulie tu. andika kwa kila umdhaniaye hela itakuja serikalini tu. Ningekuona una akili japo kidogo kama unge toa proposal hiyo pesa itumikeje ikija lakini kusema isirudishwe halafu useme una uchungu na nchi si kweli! ww ni sawa na mla rushwa yeyote yule aliyepo TZ. Shame on you and the likes of you!


ok watapewa hawa walinganishe na serikali yako kuanzia gari wanazotumia
[video=youtube_share;9qZlIw-52Zo]http://youtu.be/9qZlIw-52Zo[/video]
 
dada Regia na wabunge wengine mliomo humu,...msikimbilie hoja zilizo cheap peke yake hii ndio ingeweka taswira yako halisi kuhusiana na uzalendo wenu kwenye nchi iliyogubikwa na majanga haya ya Ufisadi,.. toeni Msimamo wenu,.Hata Mkianzia humu Ili ikiwezekana tuwaongezee na directory nyingeno za kuwasilisha kwenye chombo chetu cha kutunga sheria. Tujitahidi watanzania wenzangu kuwarudisha kina ndugai nchini vichwa vikiwa vinatizama chini kwa aibu kwa kuzikosa hizo pesa wanazotaka ziwadondokee wao na si wananchi kwa kuwasilisha hoja zetu huko,. waingereza watambui wanaowawakilisha huko hao kina ndugai si wananchi
 
Napendekeza ujumbe wa bunge utakaokwenda Uingereza kudai chenji uongozwe na Andrew Chenge, Edward Lowassa, Rostam Aziz na Anna Makinda. Pia ujumbe huu uwe na wajumbe wengine ambao si wabunge yaani Benjamin Mkapa, Zakha Meghji, Dr. Idris Rashid na mhindi Ketan Somaia bila kumsahau yule muwezeshaji mkuu Patel.
Ama kweli waso haya wana mji wao na mji wao ni Bongo.
 
Mkuu you're right. Linapokuja suala nyeti linalohusu interests za nchi, watu huwa wanasepa. Watu hawataki kuumiza vichwa. Tumezoea kujadili vitu vyepesi vyepesi. Wala sidhani kama ni lugha ya Kiingereza ndio inayowakwa watu. Mbona huwa kuna thread kibao za Kiingereza na watu wanachangia? Nafikiri tatizo tunapenda kujadili suala kisiasa zaidi. Kwenye hili suala, huwezi kuingiza siasa. Hili ni suala la kitaifa. Hata mamluki hawataweza kusema chochote kwenye hili suala kwa sababu roho zao zinawasuta tuu.

Nakubaliana na wewe EMT na wengine wote waliochangia kwenye mada hii, ukweli ni kwamba we're on the good side of history. Kuna siku vizazi vijavyo vitapitia hizi kumbukumbu na kuona jinsi watu walivyosimama kidedea kugomea hili swala.

Inauma sana kuona local media inaona kama hii ni non selling news, hapa tunazungumzia 20+ million dollar, pesa ambayo inaweza kusaidia wanawake kadhaa wakaweza kujifungua vyema, watoto kadhaa wakapata chanjo na shule kadhaa zikapata vitabu. Hii ni national interest story. Nashangaa kwa nini wana JF wengi wanaipa kisogo..... Labda kwa wale waliojiunga JF juzi juzi, ukweli ni kwamba pesa hii tulipigia zogo kuanzia kule Youngafrican na tanzanite mpaka hapa. This is a milestone ambayo tumefikia, we're few step away from kushinda and we need everybody to make it happen. Send email, make a phone call wajuze wengine kuhusu hii issue. This is not CCM issue, not CUF or CDM issue this is Tanzania issue. Wote wapenda maendeleo wafahamu ya kuwa kuna pesa hapa ambayo inaweza kusaidia maendeleo kama itapelekwa kwa wataka maendeleo moja kwa moja na sio wakiritimba kama serikali ya JK.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nakubaliana na wewe EMT na wengine wote waliochangia kwenye mada hii, ukweli ni kwamba we're on the good side of history. Kuna siku vizazi vijavyo vitapitia hizi kumbukumbu na kuona jinsi watu walivyosimama kidedea kugomea hili swala.

Inauma sana kuona local media inaona kama hii ni non selling news, hapa tunazungumzia 20+ million dollar, pesa ambayo inaweza kusaidia wanawake kadhaa wakaweza kujifungua vyema, watoto kadhaa wakapata chanjo na shule kadhaa zikapata vitabu. Hii ni national interest story. Nashangaa kwa nini wana JF wengi wanaipa kisogo..... Labda kwa wale waliojiunga JF juzi juzi, ukweli ni kwamba pesa hii tulipigia zogo kuanzia kule Youngafrican na tanzanite mpaka hapa. This is a milestone ambayo tumefikia, we're few step away from kushinda and we need everybody to make it happen. Send email, make a phone call wajuze wengine kuhusu hii issue. This is not CCM issue, not CUF or CDM issue this is Tanzania issue. Wote wapenda maendeleo wafahamu ya kuwa kuna pesa hapa ambayo inaweza kusaidia maendeleo kama itapelekwa kwa wataka maendeleo moja kwa moja na sio wakiritimba kama serikali ya JK.

mzee ingekuwa ni kiasi hicho unadhani wangepiga kelele hivyo? Ni Paundi milioni 30! karibu dola milioni 60 hivi.. sawa na bilioni karibu 78 za madafu! zinatamanisha...
 
mzee ingekuwa ni kiasi hicho unadhani wangepiga kelele hivyo? Ni Paundi milioni 30! karibu dola milioni 60 hivi.. sawa na bilioni karibu 78 za madafu! zinatamanisha...

Mwanakijiji nimekwenda kuangalia kwenye case documents ndio nimeona kwama ni 70 Billion Tanzania shilling ambazo zinarudishwa. Kingine nilichoona ni kwamba sisi tunawalipa Barcleys Bank hadi leo hii mkopo wa Radar. Ina maana serikali ya Tanzania iliikopa pesa ili kumpa Mkapa, Chenge and Vitali wherever his name his, ili wafuje wanavyotaka wao then sisi tulipe.

I support BAE don't give that money back kwa serikali, sababu wanachotaka ni kwenda kuwalipa Barcleys Bank. Nimeangalia video clip kuna mwanamama aliyeongozana na ule ujumbe. She need two things, kwanza arudi shule akasome zaidi au akubali kwamba hajui chochote kuhusu issue na watafute watu wamwambie ni nini kilijiri. Yule Zungu anasema pesa ile ni yawalipa kodi wa Tanzania, anachokosea ni kwamba pesa ile ni Barcleys ambayo iliibiwa na wana CCM wenzie. So, arudi akawashike matai kina Mkapa na Chenge.
 
Not one shilling, penny, cent should go to the thugs in the TZ gvt. In setting up their own advisory board, the BAE has sent a clear message to the TZ gvt. that they don't have any faith in them for doing the right thing! For the TZ gvt. never prosecuted any suspects/TZ gvt. officials thought to have taken the kickbacks, the bribes, etc. This is in fact a truly sad moment for the government of the united republic of tanzania to be known around the world as one of the most corrupt, lawless and thugocratic! A government who has done absolutely nothing to one of their own officials who in public said that he considered a million dollars as just some pennies. Just for a moment, imagine, in one of the poorest countries in the world, where his citizens are struggling to even get a piece of bread in their stomachs, this man compared a million dollars to some pennies. Imagine how many dollars he must have in his possession to even think of a million dollars as some pennies! The BAE should not give any money to the TZgvt!!! The money belongs to the ppl of Tanzania not to the goongovernment of Tanzania.
 
Sisiem wote wamelaaniwa na wamepungukiwa umaridadi wa fikra. Na utukufu wa Mungu umewaacha.
 
Sisiem wote wamelaaniwa na wamepungukiwa umaridadi wa fikra. Na utukufu wa Mungu umewaacha.
 
Hao wabunge wameenda London kudai haya malipo toka BAE Systems kama wabunge au kama serikali? Kama wameenda kama wabunge ni kupitia kipengele kipi au azimio gani la bunge? Ni lini issue ya Rada ilijadiliwa bungeni au ni lini bunge liliihoji serikali juu ya haya malipo ndipo wakaamua (wao bunge) kufuatilia malipo hayo? Kama wanadai kwa niaba ya serikali, je bunge linawajibika kwa serikali? Ndungai anaelewa nini maana ya separations of power?

Bunge kama mhimili mmojawapo wa dola wameshindwa, narudia wameshindwa kusimamia maamuzi yake yaliyopitishwa Bunge la 9 kukiwa na maazimio 18 ya kamati ya Dr Mwakyembe. Pia Bunge limeshindwa kuhoji kuhusu urejeshwaji wa mabilioni ya EPA. Kama wanaweza kwenda London kudai hela kwa nini wasidai EPA au Kagoda, etc? Na kwa nini wabunge London kipindi hiki cha mkutano wa Bajeti?

Ukiangalia hii trip ya wabunge kwa juu juu inaonekana kama kitu cha kizalendo, lakini unapongalia mabilioni yanayopotea hapa nchini unabakiwa na maswali kuliko majibu.

Kwa maoni yangu, hizi hela hazitakiwi kabisa (hata cent moja) kwenda kwenye mikono ya wezi. Na hapa wezi ni wawili: BAE Systems na Serikali ya Tanzania. Serikali ilikubali kulipa cha juu na ndio maana hakuna mtu yeyote amechukuliwa hatua. na BAE waliandika invoice yenye tarakimu kubwa na maelezo ya mlipaji (serikali).
 
Bunge kama mhimili mmojawapo wa dola wameshindwa, narudia wameshindwa kusimamia maamuzi yake yaliyopitishwa Bunge la 9 kukiwa na maazimio 18 ya kamati ya Dr Mwakyembe. Pia Bunge limeshindwa kuhoji kuhusu urejeshwaji wa mabilioni ya EPA. Kama wanaweza kwenda London kudai hela kwa nini wasidai EPA au Kagoda, etc? Na kwa nini wabunge London kipindi hiki cha mkutano wa Bajeti?

enzi zile haya tuliyaita ni maswali ya ugomvi... nimeyapenda though
 
mzee ingekuwa ni kiasi hicho unadhani wangepiga kelele hivyo? Ni Paundi milioni 30! karibu dola milioni 60 hivi.. sawa na bilioni karibu 78 za madafu! zinatamanisha...

Nilimsikia kiongozi wa ujumbe wa wabunge waliokwenda Uingereza kutembeza bakuli la chenji ya rada (ungo) Naibu Spika Job Ndugai akidai kuwa Bunge litasimamia matumizi ya hizo hela zikirudishwa serikalini. Kwanza nimecheka kwa uchungu halafu nikajiuliza maswali kadhaa;
  1. Bunge lilikuwa wapi wakati hujuma hii inafanyika na Waingereza wenyewe wakipiga kelele ?
  2. Bunge limechukuwa hatua gani kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria ?
  3. Bunge mbona halikuweza kujadili swali la Mkapa kuondolewa kinga ili aweze kuwajibishwa ?
  4. Bunge lilishindwaje kuisimamia serikali kutekeleza mapendekezo yake kuhusu Richmond ?
  5. Ndugai, Cheyo, Zungu na Angela wote walikuwa bungeni toka 2005, wana nini kipya 2011 ?
  6. Je wako tayari kutupa mahesabu ya matumizi ya safari yao nchini Uingereza kudai hiyo chenji ?
Ukweli huu ni mwendelezo wa usanii ambao umeigubika serikali ya Kikwete na kuiganda kama shati lililolowa maji na hawa wanatumiwa tu kutafuta ulaji. Watakaotafuna hizi hela wamaishakaa mkao wa kula kivulini na bila jasho na kama hatukuangalia tutaubariki huu mlo, tusilale !
 
Wenye masikio na wasikie wenye macho na waone . Kwenye hekaya za Abunwasi, mfalme aliyejenga Kasri lake ufukoni aliamka asubuhi na kuona mkono umenyooshwa juu ya maji . kisa hiki kilimtisha na kuita mawaziri wake wote kutaka kujua una maana gani. Wote walishindwa kujua tatizo nini. Ila mmoja alisema labda tukaanaglie gerezani kama kuna mfungwa atakayeweza kutoa tafasiri ya mkono hule. Hapo ndipo Abunwasi aliitwa toka gerezani ili atoe tafasili. Alipofika kwa mfalme , aliomba apewe muda wa kuonana na familia yake na kesho aje kutoa tafsiri.
Kesho yake asubuhi alifika kwa mfalme n a kunyoosha vidole viwili juu kuelekea mkono ulio juu ya maji. Hapo mkono ukapotelea ndani ya maji.
mfalme akamuuliza Abunwasi , nini kimetokea? Jibu' walikua wanahitajika watu watano wenye akiri kutoka kwenye serikali yako, nami nikamnyooshea vidole viwili nikimaanisha hatuna hata wawili.
 
Hao wabunge wameenda London kudai haya malipo toka BAE Systems kama wabunge au kama serikali? Kama wameenda kama wabunge ni kupitia kipengele kipi au azimio gani la bunge? Ni lini issue ya Rada ilijadiliwa bungeni au ni lini bunge liliihoji serikali juu ya haya malipo ndipo wakaamua (wao bunge) kufuatilia malipo hayo? Kama wanadai kwa niaba ya serikali, je bunge linawajibika kwa serikali? Ndungai anaelewa nini maana ya separations of power?

Bunge kama mhimili mmojawapo wa dola wameshindwa, narudia wameshindwa kusimamia maamuzi yake yaliyopitishwa Bunge la 9 kukiwa na maazimio 18 ya kamati ya Dr Mwakyembe. Pia Bunge limeshindwa kuhoji kuhusu urejeshwaji wa mabilioni ya EPA. Kama wanaweza kwenda London kudai hela kwa nini wasidai EPA au Kagoda, etc? Na kwa nini wabunge London kipindi hiki cha mkutano wa Bajeti?

Ukiangalia hii trip ya wabunge kwa juu juu inaonekana kama kitu cha kizalendo, lakini unapongalia mabilioni yanayopotea hapa nchini unabakiwa na maswali kuliko majibu.

Kwa maoni yangu, hizi hela hazitakiwi kabisa (hata cent moja) kwenda kwenye mikono ya wezi. Na hapa wezi ni wawili: BAE Systems na Serikali ya Tanzania. Serikali ilikubali kulipa cha juu na ndio maana hakuna mtu yeyote amechukuliwa hatua. na BAE waliandika invoice yenye tarakimu kubwa na maelezo ya mlipaji (serikali).

well said bro/sisy!
hii inaweza ikawa viewed kama another failure ya madaame speaker, wabunge wake nani kawatuma? ni yeye kawatuma au wametumwa na serikali?
kama ni serikali inawatumaje?unawezaje kumsimamia boss wako anayekutuma kama atakavyo???
wabunge wa CCM wana matatizo makubwa sana na wananchi wanatakiwa kuliona hili kwa jicho la nyongeza kwa kuwa hata madame speaker naye yuko gizani kapofushwa na CCM...ndo maana unakuta mbunge anamjibu mbunge mwenzie kuifurahisha serikali!!! ni matumizi mabaya ya kodi zetu....kwa nini tunatenganisha hii mihimili kama mingine iko weak kiasi cha kuwa follower wa mhimili mwingine?? kama hakuna maazimio ya bunge juu ya suala hili ina maana hawa wametumwa na Membe and Co kitu ambacho ni aibu kwa bunge..serkali ndo walofanya ufisadi huu wa radar ,watu wa uingereza wakatuhurumia na kulivalia njuga na mpaka wamefanikiwa kushinda kesi, eti ndo Ndugai anasimama mbele ya kamera kusema eti amekwenda kuiwakilisha serikali??? kwa nini? serikali inayowakilishwa imekwenda wapi???Zungu anasema we can't prosecute anyone without evidence'' sasa anakwenda kudai pesa ipi na ya nini tena? eti SFO hawajatuletea report ya utafiti wao, khaa kwani nyie mliwatuma mpaka wawape report???it was for their own use, na ndo maana hawataki pesa hiyo irudi kwa serikali kwa kuwa wataila tena!
Sorry Cheyo, anasema accountability iko vyema kwa funds za serikali, anasahau amefuata nini London...hajui kuwa yupo kule kwa kuwa funds za serikali zilitumika vibaya...Kama budget ya mwaka mmoja inakuwa na upotevu wa more than 2Trillion TZS ambazo ni 25% ya budget nzima na bado mbunge wa upinzani(anajiita na kuitwa na watu wa bariadi) eti serikali ina accountability process nzuri ya funds za Umma,amediriki hata kusema eti chombo cha kuzuia rushwa kipo imara?!!11. so sad mWEEEEEEEEEE!

BAE+Serikali ya CCM+TAKUKUKUKUKUKURU= Maf is Adi.....piga chini wote, mahakama na SFO wasimamie pesa hiyo itumike sawaswa hata kwa kuzipeleka kwenye vyuo watu wapate mascholarship kwa vyuo vya bongo na hata nje....
 
na press conference ya Ndugai and Co ina walakini.....ni kama wameigiza kukutana na waandishi wa habari.!
mbona ina wabongo tupu? halafu Ndugai anasema tumemaliza kwa kiswahili tufanye kwa kingereza sasa...duh! kwa nini hawakufanya press conf ya wazi? kama wameshaingizwa kwenye hila za serkali wataisimamia kweli??? bunge la tz bwana!!
 
Back
Top Bottom