Si ataendelea kufanya hizo mbinu zake za KUBAKA zilizomfikisha hapo alipo?Kifanyio cha nini sasa wakati anashindwa kuongea. Atamsomeshaje demu? Au atatumia zile mbinu za kale za kuandika barua!!!
Atamezaje chakula!!!Bora kaishia kunyofolewa ulimi kuliko angenyofolewa kifanyio
Atazungumzaje!!!!!!asee bora kufanyiza asee, kwani kang'olewa mdomo? au meno? kazi ya ulimi ni kwa ajili ya ladha tu, kama ni ladha ataipata na kifanyio
Ndo mlivyo ccm, Siku zote mpo zero brain.Mi tangu mwanzoni nilihisi kuwa huyu nyumbu ni mbakaji tu.
Ndo mlivyo ccm, Siku zote mpo zero brain.
Mbakaji hawezi kung'atwa ulimi labda ingekuwa sehemu nyingine za na siyo ulimi, police wanashindwa kweli kutumia intelligence ktk hili jambo Dogo?
The concept is simple, the two were exchanging deep kisses, and it seems the woman was either possessed by demons and that's why she gnawed his tongue or she compelled him to make love when he refused, she became angry and made an attack.
huwezi kuwa ktk purukushani ya kubaka halafu mbakwaji akapata nafasi ya kuuma ulimi wa mhalifu kiasi hicho, police tumieni intelligence Kama mnavyotumia ktk mambo mengine
hapo atashinda mwanamke huyo maana ipo wazi atakua alikua anajitetea. ni vigumu sana mwanamke kiforce mapenzi mpaka atoe mtu ulimiWin-win situation siioni hapo.
It is too bias aiseh
mke wamtu ndio ashtakiwe itakuwaje huyu kijana ndio ashtakiwe huo niuonevu. mawakaili wamtete huyo kijana huyomama wala haoni aibu.yaani wewe ndio umemng'ataulimi kwamaaana hiyo yeye si ndio alilekuwa ananyinya hapana kama polisi wanapotea muda kwa kitu obvious kama hiki kwa kwelinikupotea resoureces a serekali. kijana kapata kilema hata hajui kama atapona na itakuwaje.huenda ndio mwisho wakuongea sasa anataka afungwe maisha/ hapana haki inabidi itendeke1Hata kama walielewana lakini mambo yameshaharibika na huyo ni mke wa mtu, unafikiri atasemaje?