Aliyelawitiwa baada ya kushikwa ugoni ajiua

Na inasemekana marehemu alichofanya ni kuacha ushahidi wa kutosha polisi na kwa baadhi ya watu waliokuwa tayari kumsaidia kisheria + mkanda waliojirekodi , hapo mwana hachomoki hata akiwa kama Ditto! na mpaka sasa anaokotwa mmoja baada ya mwengine wanaoonekana kwenye mkanda, Kweli tamaa nyingine zimepitiliza!
 
Ile adhabu ya kuuchezea uume wa mbaya wake kisha kuutia mdomoni na kula koni ndio iliyomfanya ajinyonge. Maana kila alipotupia macho rahatupu alichanganyikiwa. ANGALIZO Sinza kuna gest in cctv ukinda mchana wanakurekodi au wanawaita watu wa kijiweni wakuangalie unavyoshughulika. Sasa kama nimuingia uani au chuvini jihadhari sana.
 
Halafu sijui hanith maana kadudu kenyew kama kidole changu halaf hakijasimama

Inawezekana dudu lake ni kubwa tu ila sasa kitu alichokuwa anakifanya hata yeye mwenyewe alikuwa anakiogopa lazima dushe inywee, alifanya kitu cha aibu sana.
 
Hatari. Nimeziona picha. Ila yawezekana hakujua kama huyo mwanamke ni mke wa mtu. Lakini body language mida fulani huongea mambo mengi. Binadamu tunapokuwa na ufahamu kuwa ni sisi wenye makosa mara nyingi huwa tunanywea. Huyu kijana kwenye hizi picha anaonekana kasalim amri kiulaini sana, picha hazioneshi kwamba kulikuwa na varangati fulani kabla. Yawezekana alijua alichokuwa anakifanya, kama hakujua ilitakiwa apigane nao au angalau picha zioneshe mtu ambaye analazimishwa kufanyiwa hivyo. Pia hizi picha wala hazimuoneshi mwanamke, ni vp? Mwisho wa siku, hao waliomla huyu kijana nao wagonjwa wa akili. Mwanaume unawezaje fanya hivyo kwa mwanaume mwenzio yaani kusimamisha kabisa tena mbele ya camera na mbele ya watu. Lazima nao watakuwa wanafanyaga haya mambo, ni wazoefu na huu ndo ufuska usiokubalika kabisaaa. Ila bado Mke wa mtu ni sumu.
 
Anayekula mke wa mtu anastahili adhabu yoyote inategemea na mwenye mke kaamuaje.

Sasa watu wanakuja hapa na kulalamika kuwa haikuwa sawa.

1.Kwanini sio sawa?
2.Kwanini amkule mke wa mtu?
3.Hamna wanawake ambao hawajaolewa?
4.Alikuwa hajui?hapana mke wa mtu huwa anaonekana.

Kwa mimi ninavyojua wake za watu ni dhaifu sana,kulingana na mambo yaliyopo ndani ya ndoa yanawafanya wengi wao kutafuta nafuu nje.iwe ya kulidhishwa,kubembelezwa nk.
Sasa wewe mwanaume unayekwenda kulia shida kwa mke wa mtu ujue ni wachache sana wanakataa.so wakujizuia ni mtoto wa kiume.kaa tu chini dhen kataa,jiambie kwamba sitatembea na mke wa mtu maishani.utajiepusha na mabalaa kama haya na mazito zaidi ya haya.


KAMA UNAAMBIWA MKE WA MTU NI SUMU HALAFU HUSIKII.UTAPIGWA TU,HATUWEZI KUKUACHA UTAPIGWA TU.

Tena huyo kamanda wangemuachia tu,wanampotezea muda tumechoshwa na mario ---- dem all what ever you meet em at kitaa.

9800
 
Ila mie nazilaumu Gesti zetu hizi haiwezekaniki mtu kaja bila polisi unamruhusu akaingie chumba cha mtu ambae ni mteja wako, lawaama zote zielekezwe kwa hawa wenye gesti kwanini wanashindwa kutoa ulinzi kwa wateja wao. Sio siri niliuzunika sana kwa kitendo hiki nadhani fundisho nitawafikia wote wamiliki na wateja Next time ukiwa na mke wa mtu nenda sehem ambayo hata wewe unahisi upo salama..
 
Wadau, Naomba mnisaidie, kuna habar imetapakaa whatsapp kuwa kuna jamaa kaliwa tigo baada ya kufumaniwa na mke wa mtu, huko Arusha. Leo naambiwa alieliwa tigo, kajiua, na aliemfumania kakamatwa na Polisi.

Sasa Nikawa najiuliza, hivi kati ya Marehemu alieliwa tigo, kisha kujiua na Mwanamke aliekubali kumvulia marehemu chupi ili hali ni mkebwa mtu, nani mwenye makosa makubwa?

Wanaume, tunadhalilishana sana siku hizi, kumpakuwa mwenzio pilau tunaona dili, sijui tumetoa wapi tabia hii, Mimi nikimfumania mke wangu, sihangaiki sana na jamaa, nalia na Mama watoto wangu, maana kama angekataa, nisingewafumania.

Lakini siku hizi ni shida, kuliwa tigo nje nje, vibaka wakikukaba, huna hela, huna simu ya gharama, wanajipoza hasira kwa kukuinamisha, this is toi much, hii sasa ni kero, sijui wanawake hakuna, ama ni nini?

Nimehuzunika sna, jamaa kujiua, lakini nimehuzunika zaidi huyo aliemfumania, kuamua kumla tigo mshkaji, tena zile picha nimeona wako zaidi ya wawili, wakampa na Filimbi apulize, doh!

Solution ya Fumanizi ni nini? Ukimfumania Mpenzi, ama Mke wako au Mume wako na Mtu mwingine, unapaswa kufanya nini?

Wanaume tubadilike, for sure sio sifa.
 
Wanaume tuna actbas if wanawake duniani wamekuja mwaka jana, tumezaliwa nao, tunakuwa nao, lakini hatuwazoei? Kesi kibao za kujiua, kulawiti, kuua, kujeruhi, zoooote kisa Mapenzi, halafu ni nadra sana kusikia mwanake, kamuua mwanamke mwenzake, ama kamtafutia watu wamle tigo, ama kumbaka, yaani ni chache, compared to, zile za wanaume.
 
Wanawake ndo chanzo kikubwa cha kilaki2 na ataibeba adhabu.

Hebu badili hiyo avarta kabla sijakuchenchia! lol...

kila leo watu wanafumaniwa lakini hawabadiliki... wacha waliwe mpaka pua tu achilia mbali tygo!
 
Mqmbo mawili sijayaelewa na sitokaa kuyaelewa katika skendo hii:

1. Kumfi.r mwanaume mwenzangu (nina uhakika hata uume wangu hautosimama)

2. Kufir.wa kwa hiari. (Heri kufa..waniue kwanza ndipo wanifanyie watakayo)

Nilipoziona hizo picha akili yangu iliwaza hao ni mashoga tu...halaf walikuwa zaidi ya wawili. Hii hadithi hainiingii vyema akilini.

Mkuu Mentor hata mimi najiuliza kwamba unakuta kijamaa kimeinama juu ya mkeo siju hata hiyo naniii itaanzaje kusimama labda naye alikuwa anatamani siku nyingi afanye hako kamchezo kachafu akaona atumie fulsa.
 
Sidhani kama mwanamke ni chanzo cha hayo yote, sisi wanaume tumepewa mamlaka mazito sana ya kufanya kila kitu...

Uwezo wa kuifanya dunia ya mapenzi iwe ya amani tunao, basi tu ni kujiachia...

Aisee nikikufumania na mke wangu nakusakizia Mbwa tu as long as na mimi sichukui mke wa mtu..
 
Back
Top Bottom