Alarm ya mafuta kuflash

Makobus

Senior Member
Jul 30, 2012
164
103
Habari wakuu. Shida ya alarm ya mafuta kuwa yameisha inanisumbua. Nimeweka mafuta ya elfu 20 lakini nilipotembea km 6 tu ikaanza kuflash.

Nikaamini shell wameniibia, nikaongeza ya elfu 10. Lakini nilipoenda kama km 2.5 tu ikaflash tena.

Ni kweli shell wananiibia au engine imegeuka jini la kubugia mafuta junsi hii?

Au kuna technical problem nyingine sijaigundua tu? Naomba msaada wataalam.
 
Habari wakuu. Shida ya alarm ya mafuta kuwa yameisha inanisumbua. Nimeweka mafuta ya elfu 20 lakini nilipotembea km 6 tu ikaanza kuflash. Nikaamini shell wameniibia, nikaongeza ya elfu 10. Lakini nilipoenda kama km 2.5 tu ikaflash tena. Ni kweli shell wananiibia au engine imegeuka jini la kubugia mafuta junsi hii? Au kuna technical problem nyingine sijaigundua tu? Naomba msaada wataalam.
Weka mafuta ya kutosha acha ubahili boss.
 
Habari wakuu. Shida ya alarm ya mafuta kuwa yameisha inanisumbua. Nimeweka mafuta ya elfu 20 lakini nilipotembea km 6 tu ikaanza kuflash.

Nikaamini shell wameniibia, nikaongeza ya elfu 10. Lakini nilipoenda kama km 2.5 tu ikaflash tena.

Ni kweli shell wananiibia au engine imegeuka jini la kubugia mafuta junsi hii?

Au kuna technical problem nyingine sijaigundua tu? Naomba msaada wataalam.
Tanzania SHELL unaipata wapi? Wewe huna gari. Ungekuwa na gari ungejua hakuna shell tz. Usitupotezee muda
 
Unajifunza kiingereza kwa kukariri maneno? Hapa nchini, kituo chochote cha mafuta kinaitwa shell. Usikariri!!
 
Habari wakuu. Shida ya alarm ya mafuta kuwa yameisha inanisumbua. Nimeweka mafuta ya elfu 20 lakini nilipotembea km 6 tu ikaanza kuflash.

Nikaamini shell wameniibia, nikaongeza ya elfu 10. Lakini nilipoenda kama km 2.5 tu ikaflash tena.

Ni kweli shell wananiibia au engine imegeuka jini la kubugia mafuta junsi hii?

Au kuna technical problem nyingine sijaigundua tu? Naomba msaada wataalam.
Kumbuka mafta ya 10000 kwa sasa ni kama lita 2 point something so ni kiasi kidogo tu
 
Unajifunza kiingereza kwa kukariri maneno? Hapa Tanzania, kituo chochote cha mafuta kinaitwa shell. Ni matumizi ya lugha hayo!!
 
Shell ni kampuni
Naelewa kuwa ni kampuni kama yalivyo makampuni mengine kama BP, Lake, Total, Agip na mengine mengi.

Kwa sababu Shell ni kampuni kongwe hapa nchini, ndiyo maana ilijinyakulia jina kiasi kwamba makampuni mengine yalofuatia yanatambulishwa kwa jina la SHELL.

Wanaisimu ua lugha wanajua hili.
 
mkuu weka mafuta hata ya 50k acha ubahili.
Gari yangu inaenda km 13 kwa lita moja. Kwa hiyo, kitendo cha lita 4 kwenda km 6 tu ni indicator ya tatizo. Huwezi kulibaini kwa kuweka mafuta mengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom