matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,718
- 15,696
Binafsi sijawahi kufika Ulaya ila nawafuatilia tu kwenye habari. Hawa jamaa watoto wao kuchapwa fimbo ili wakae kwenye mstari sio kipaumbele kabisa.
LAKINI
Wanafanya uvumbuzi, wanaongoza dunia, kwa ufupi wanategemea duniani. Yaani Ukiacha Mungu anayefuatia ni mzungu/US japo wote tunaakili sawa.
NJOO BONGO SASA
Mfano mzuri mimi, najijua kabisa bila juhudi kali za kuchapwa fimbo na adhabu za hapa na pale kwa walimu wa Shule ya msingi na mzazi (mother) nisingevuka hata darasa la saba.
Je? Kunatofauti kati ya mtoto wa kiafrika na mzungu katika vigezo vya kulelewa? Mbona wenzetu bila fimbo wanaenda tu ila sisi bila fimbo unaweza kukuta mtoto kajisaidia kwenye sufuria la ubwabwa makusudi.
Unakumbuka siku uliyochapwa fimbo na Mwalimu au mzazi au mlezi au jirani. unadhani hiyo fimbo ilikuwa na tofauti yoyote katika kubadilika kwako kulinganisha kama usingechwa kabisa na kushauriwa tu.
LAKINI
Wanafanya uvumbuzi, wanaongoza dunia, kwa ufupi wanategemea duniani. Yaani Ukiacha Mungu anayefuatia ni mzungu/US japo wote tunaakili sawa.
NJOO BONGO SASA
Mfano mzuri mimi, najijua kabisa bila juhudi kali za kuchapwa fimbo na adhabu za hapa na pale kwa walimu wa Shule ya msingi na mzazi (mother) nisingevuka hata darasa la saba.
Je? Kunatofauti kati ya mtoto wa kiafrika na mzungu katika vigezo vya kulelewa? Mbona wenzetu bila fimbo wanaenda tu ila sisi bila fimbo unaweza kukuta mtoto kajisaidia kwenye sufuria la ubwabwa makusudi.
Unakumbuka siku uliyochapwa fimbo na Mwalimu au mzazi au mlezi au jirani. unadhani hiyo fimbo ilikuwa na tofauti yoyote katika kubadilika kwako kulinganisha kama usingechwa kabisa na kushauriwa tu.