Aisee happy 4th july kwenu wote.......it a wonderful day kabisa......nasheherekea hapa naumwa na mbu najiandaa kupamba na foleni kesho....nyie mnafanya nini?
Aisee happy 4th july kwenu wote.......it a wonderful day kabisa......nasheherekea hapa naumwa na mbu najiandaa kupamba na foleni kesho....nyie mnafanya nini?
kwani ni siku ya nini........?
siku marekeni inajikomboa kutoka mikononi mwa waingereza..
Kule kwao ni siku ya ukombozi.Hiyo tarehe 4 ya July kwetu watanzania ni siku ya kawaida tu. Kwani mwenzetu ulikuwa na nini kichwani?
Oh !yaani Obama kuja sasa mnataka tujishebedue na hata siku zao za kumbukumbu ya mwisho wa makonzi ya mwingereza?tupisheni hapa!
Kule kwao ni siku ya ukombozi.