2025, Wananchi mkatae kuwa misukule ya wabunge wasiofanya wajibu wao mpaka wakikaribia uchaguzi

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
51,772
23,214
Tufike wakati tuseme imetosha sasa.

Jana kwenye kikao cha Bunge nimewanukuu wa Bunge watatu wakililia barabara na wengine kusema, Mheshimiwa Waziri, wananchi tumewafanya kama misukule, hao ndio wanaturudisha bungeni sasa. Tushafanya nyimbo kila ukikaribia uchaguzi tunawakimbilia.

Tukipata vyeo tunawasahau, Mheshimiwa Waziri, tunavyoomba hapa maendeleo mkumbuke, hawa ndio wahusika wakuu waliotufikisha hapa. Ukweli iliniuma na nikasema, Mungu awape macho ya rohoni, kumbe wameshajua sisi ni misukule.

Sasa umefika wakati wewe mwananchi 2025, acha kuwa msukule, nenda kapige kura mbunge aliewadisi siku zote. Achaneni naye, mkatilien mbali bila kuangalia itikadi za chama. Wenyewe washaanza kujishitukia huko.
 
Tufike wakati tuseme imetosha sasa.

Jana kwenye kikao cha Bunge nimewanukuu wa Bunge watatu wakililia barabara na wengine kusema, Mheshimiwa Waziri, wananchi tumewafanya kama misukule, hao ndio wanaturudisha bungeni sasa. Tushafanya nyimbo kila ukikaribia uchaguzi tunawakimbilia.

Tukipata vyeo tunawasahau, Mheshimiwa Waziri, tunavyoomba hapa maendeleo mkumbuke, hawa ndio wahusika wakuu waliotufikisha hapa. Ukweli iliniuma na nikasema, Mungu awape macho ya rohoni, kumbe wameshajua sisi ni misukule.

Sasa umefika wakati wewe mwananchi 2025, acha kuwa msukule, nenda kapige kura mbunge aliewadisi siku zote. Achaneni naye, mkatilien mbali bila kuangalia itikadi za chama. Wenyewe washaanza kujishitukia huko.
Hili jambo ni muhimu mno na pia tusisahau kuondokana na CCM 2025 inatosha sasa!
 
Tufike wakati tuseme imetosha sasa.

Jana kwenye kikao cha Bunge nimewanukuu wa Bunge watatu wakililia barabara na wengine kusema, Mheshimiwa Waziri, wananchi tumewafanya kama misukule, hao ndio wanaturudisha bungeni sasa. Tushafanya nyimbo kila ukikaribia uchaguzi tunawakimbilia.

Tukipata vyeo tunawasahau, Mheshimiwa Waziri, tunavyoomba hapa maendeleo mkumbuke, hawa ndio wahusika wakuu waliotufikisha hapa. Ukweli iliniuma na nikasema, Mungu awape macho ya rohoni, kumbe wameshajua sisi ni misukule.

Sasa umefika wakati wewe mwananchi 2025, acha kuwa msukule, nenda kapige kura mbunge aliewadisi siku zote. Achaneni naye, mkatilien mbali bila kuangalia itikadi za chama. Wenyewe washaanza kujishitukia huko.
Na kipindi hiki watakua karibu mno na wananchi, hata mkiwataka walambe mavi watalamba. Wananchi waamke, mbunge toka achaguliwe kahamia dar, anakuja 1 year au miezi ya kukaribia uchaguzi huyo hafai
 
Na kipindi hiki watakua karibu mno na wananchi, hata mkiwataka walambe mavi watalamba. Wananchi waamke, mbunge toka achaguliwe kahamia dar, anakuja 1 year au miezi ya kukaribia uchaguzi huyo hafai
Nduguuuuu kumbeeee wanajuagaa wanachofanyaaa yaan kilaaa mbungee analilia kwake kisaaa achaguliwe aisee
 
Na kipindi hiki watakua karibu mno na wananchi, hata mkiwataka walambe mavi watalamba. Wananchi waamke, mbunge toka achaguliwe kahamia dar, anakuja 1 year au miezi ya kukaribia uchaguzi huyo hafai
Tulikuwa na mbunge mmmoja wa mbeya aisee alivyochaguliwa akaja dar akaanza kutuchapia dadazetu hataree enzihizo rip mzee wetu
 
Tufike wakati tuseme imetosha sasa.

Jana kwenye kikao cha Bunge nimewanukuu wa Bunge watatu wakililia barabara na wengine kusema, Mheshimiwa Waziri, wananchi tumewafanya kama misukule, hao ndio wanaturudisha bungeni sasa. Tushafanya nyimbo kila ukikaribia uchaguzi tunawakimbilia.

Tukipata vyeo tunawasahau, Mheshimiwa Waziri, tunavyoomba hapa maendeleo mkumbuke, hawa ndio wahusika wakuu waliotufikisha hapa. Ukweli iliniuma na nikasema, Mungu awape macho ya rohoni, kumbe wameshajua sisi ni misukule.

Sasa umefika wakati wewe mwananchi 2025, acha kuwa msukule, nenda kapige kura mbunge aliewadisi siku zote. Achaneni naye, mkatilien mbali bila kuangalia itikadi za chama. Wenyewe washaanza kujishitukia huko.
Ingekuwa wanapata ubunge kwa ridhaa ya wananchi ungekuwa na hoja.
 
Tufike wakati tuseme imetosha sasa.

Jana kwenye kikao cha Bunge nimewanukuu wa Bunge watatu wakililia barabara na wengine kusema, Mheshimiwa Waziri, wananchi tumewafanya kama misukule, hao ndio wanaturudisha bungeni sasa. Tushafanya nyimbo kila ukikaribia uchaguzi tunawakimbilia.

Tukipata vyeo tunawasahau, Mheshimiwa Waziri, tunavyoomba hapa maendeleo mkumbuke, hawa ndio wahusika wakuu waliotufikisha hapa. Ukweli iliniuma na nikasema, Mungu awape macho ya rohoni, kumbe wameshajua sisi ni misukule.

Sasa umefika wakati wewe mwananchi 2025, acha kuwa msukule, nenda kapige kura mbunge aliewadisi siku zote. Achaneni naye, mkatilien mbali bila kuangalia itikadi za chama. Wenyewe washaanza kujishitukia huko.
Kwa tume ipi wananchi watakuwa na nguvu?
 
Back
Top Bottom