nyasa

Nyasa (English: placing; literally, "deposit" or "setting down") is a concept in Hinduism. It involves touching various parts of the body while chanting specific portions of a mantra. This imposition of mantras upon the body is considered as the assigning or locating of divinity inside one's own body. For example, nyasa is part of the equipment of a sculptor as a sādhaka and yogi.Each mantra is associated with a specific nyasa. There are various types of nyasas, the most important of them being kara nyasa and anga nyasa.
The number seven is commonly written before nyasa mantras in ritual handbooks, indicating that the seven bijaksaras (sacred letters) should be recited before the mantra.Srividya followers practise matruka nyasa.

View More On Wikipedia.org
  1. mshale21

    Nyasa: DC Kanali Laban Thomas aagiza polisi kuwakamata wanaovaa nguo fupi na "milegezo"

    Mkuu wa wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma, Kanali Laban Thomas, amepiga marufuku mavazi yasiyo na staha ikiwemo vimini na suruali za milegezo wilayani kwake na amemuagiza Mkuu wa Kituo cha Polisi wilaya ya Nyasa, kuwakamata na kuwachukulia hatua wale wote watakao vaa mavazi ya namna hiyo. Kauli...
  2. Erythrocyte

    Balozi wa Marekani Nchini Tanzania aingia Kanda ya Nyasa

    Je ataonana na Mwenyekiti wa Kanda hiyo Mchungaji Msigwa ? Ngoja tusubiri tuone Pichani : Akila Mahindi matamu ya Iringa
  3. Tengosmileog

    Watu 5 wamefariki dunia ndani ya siku 7 katika matukio tofauti mkoani Ruvuma

    Watu watano wamepoteza maisha mkoanii Ruvuma kwa muda wa siku 7 likiwemo la mwanafunzi a kidato cha kwanza Sekondari ya Mbinga wilayani na mtumbo la kucharazwa viboko hadi kufa. Kamanda wa Polisi Ruvuma Bw Joseph Konyo anawashikilia walimu 6 katika tukio hilo ambalo hakuwataja majina kwa ajili...
  4. Erythrocyte

    Operesheni Haki yaingia Kanda ya Nyasa, kuanzia Mbeya Mjini

    Ule mkakati kabambe wa kudai Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi, ukiambatana na usimikwaji wa Chadema Digital nchi nzima sasa umeingia Kanda nzito ya Nyasa, kwa kuanzia Mkoa wa Mbeya. Ikumbukwe kwamba Mbeya ndio Mkoa ambao Chalamila alitokea kabla ya kupigwa laana na Wazee wa Kyela baada ya...
  5. S

    Rais Samia, kuna dalili zote za kuwa na mafuta ziwa Tanganyika na Nyasa

    Moderators wa JF mnazingua sana. Mmebadilisha kichwa cha thread na kutoka nje kabisa ya topic. Lengo haikuwa kusema kuna dalili za mafuta, bali kuweka mkazo kwamba lazima tuharakishe ku-utilize hii resource kwa kuwa kuna kasi ya kuacha kutumia mafuta duniani. Kwa nini mnafix vitu ambavyo havina...
Back
Top Bottom