Mkurugenzi Mkaazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, Zlatan Milisic amesema uchunguzi waliofanya umeonesha wasichana watatu kati ya 10 wenye chini ya miaka 18, wapo kwenye ndoa za utotoni.
Zlatan amesema wanaoathirika zaidi ni wasichana wanaoishi vijijini huku akitaja madhara wanayokumbana...
ONGEZEKO LA SINGLE MOTHERS NA ATHARI ZAKE
BY : RASHID ABUNAYA
Email : rashidabunaya@gmail.com
Assalaam aleykum ndugu wana jamii,
Ni matumaini yangu mu buhery wa afya kwa wale mlio na shida za kiafya basi mwenyezi mungu awafanyie wepesi mpate kupona
Ndugu wana jamii, bila shaka ninyi nyote...
Hali ya Ndoa za utotoni Barani Afrika kwa ujumla
Kulingana na Taasisi ya Takwimu ya UNESCO, kuna watoto milioni 32 ambao hawajaenda shule wa umri wa msingi barani Afrika na vijana milioni 28 wasioenda shule - viwango vya juu zaidi ulimwenguni.
Inaelezwa kuwa katika Bara la Afrika, wasichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.