Habari wakuu, Mimi ni mteja wa CRDB wa kipindi kirefu na nimekuwa nikitumia huduma za SimBanking kama zinavyotangazwa kwenye vyombo mbali mbali vya habari.
Lakini, kwa bahati mbaya au kwa makusudi CRDB wamekuwa wazito kuweka wazi gharama ziambatanazo na hizi huduma na imekuwa vigumu kuzipata...
Kuna taarifa ziko mitandaoni kuhusu matawi haya kuwa yamefungwa kutokana na issue fulani(sababu inafanana), hivyo tunaomba mnaoweza kutupa ushuhuda mtupe.
Naona hata Halima Mdee nae anadai kupata taarifa hiyo(ya NMB Maafinga).
Kazi tunayo.
Naomba niishie hapa.
Je umekuwa ukijiuliza juu ya benki gani ina matawi mengi na waajiriwa wengi Zaidi nchini? Vipi kuhusu mali zake na faida ipatikanayo? Mchango wake katika bajeti ya serikali ni wa kiwango gani?
Kanuni ya saba na nane ya kanuni za mabenki na taasisi za fedha ya mwaka 2014 inayataka mabenki na...
Mimi ni mteja wa Benki ya CRDB zaidi ya miaka 10 sasa, maana kwa ninavyokumbuka niko pale kama mteja wao tangu mwaka 2008,
Tangu nilipoijua CRDB mwaka 2008 huduma walizokuwa wanatoa ndio zilinifanya nijiunge na benki yao, ila kwasasa huduma wanazotoa zitanifanya niikimbie benki yao na kurudi...
VACANCIES – DEPARTMENT OF ICT
BACKGROUND
CRDB Bank Plc is inviting applications from qualified and experienced candidates to fill the vacant positions existing in the Department of ICT.
The Bank seeks to recruit highly competent, self-motivated and professional individuals to fill the...
Kulikoni CRDB Wapendwa.
Nilifanya Interview zote pale Coca-Cola Mikocheni Feb mwanzoni. Mkasema majibu after two weeks. Mkanipa natumaini ya kuitwa kazini. Hadi leo March 8 hakuna majibu. Kuna walioitwa tayari?
Tujulishane Wandugu.
Ndani ya siku hizi mbili naona Sim banking ya CRDB haifanyi kazi na tangu jana usiku ATM zenu hazifanyi miamala hapa Dodoma na hamjatupa taarifa yeyote.
Tupeni mwongozo
Kwa hali isiyokuwa ya kawaida hawa jamaa wameanza sound zisizo na maana. Mnamo tar 2/01/2020 niliomba kadi mpya baada ya ile ya awali kuisha muda wake.
Baada ya kujaza form na kukamilisha taratibu zote nikaambiwa njoo tar 8 kuchukua kadi mpya.
Na ikumbukwe nilipo na sehemu ya kuchukulia kadi...
Jioneeni wenyewe katika picha hii nimefika hapa takribani dakika 30 nasubiri foleni ya kupata huduma kwa bank teller.
Wamejenga teller 8 ajabu tano zipo tupu, waiting line/ que ni kubwa sana takriban watu 60 wengine wamekaa.
Kwanini inakuwa hivi, huyu meneja ana kazi gani? Teller 5 zipo tupu...
Nimepata changamoto za mara kwa mara kwenye mifumo inayohusiana na CRDB ,na nimesikia malalamiko toka kwa watu kadhaa sijajua tatizo ni nini hasa??
1. POS system ni hovyo kabisa ..mara nyingi system iko down na hii imenigharimu sana muda na hela.POS za mawakala nazo ni failure kabisa naona...
CRDB Bank PLC is looking for suitable person to fill a vacant position of Senior Manager; Investor Relations in the Department of Business Transformation at the Head Office, in Dar es Salaam.
Job purpose
To ensure that the Bank is appropriately and strategically positioned with analysts...
Wadau hakuna Branch inayoongoza kwa kusumbua wateja DSM kama branch ya Lumumba mkabala na stendi ya mnazi mmoja.
Huduma ya mikopo wamekuwa wasumbufu mno, kiasi cha kukatisha tamaa. Wanajinadi kutoa Huduma hiyo ndani ya wiki moja, lakini cha ajabu waweza pigwa danadana mpaka wiki 3-4.
Kitengo cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.