Advanced Direct Connect is a next-generation peer-to-peer file-sharing protocol. This page compares the features of a number of software implementations of the protocol.
Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena akiwa na Sare zake za Kijeshi huwa haruhusiwi Kucheka au Kutabasamu katika Mazingira yoyote yale awapo...
Are you ready to dig deep into the world of agriculture and consulting? Join our internship program and cultivate your skills with us! We’re on the lookout for passionate recent agricultural graduates to join our dynamic team.
Whom are we looking for:
Bachelor’s degree in Rural Development...
Katibu Mkuu wa ADC Taifa, Doyo Hassan Doyo amesema kauli iliyotolewa na Katibu wa NEC – Itikani na Uenezi wa CCM, Paul Makonda kuwa vyama vya Upinzani Nchini havipo ni sawa na kupinga maelekezo ya Rais Samia Suluhu kuhusu maridhiano ya kisiasa.
Doyo ameyasema hayo wakati wa Mkutano wa chama...
Huyu afande, Kanali Mashauri ambaye ni mpambe wa Rais Samia, ukiacha mavazi ya kijeshi yuko vizuri pia katika mavazi ya kiraia.
Juzi niliona wakishuka pale Airport akiwa amevaa kiraia, amevaa suti yake imemkaa vyema sana hakika anaendana sana na Rais Samia.
Kongole kwake Afande, unaitendea...
Makala hii iliandikwa 2018 na Mwalimu Abas,nimeona mjadala mzito sana kwenye mitandao kuhusiana na mpambe wa Rais kuonekana amebeba begi kubwa sana wakati Rais Samia akirejea kutoka Scotland.........Twende kazi.
ADC/MPAMBE WA RAIS NI NANI?
Na Abbas Mwalimu (0719258484).
Alhamisi tarehe 4...
Kila serikali mpya inapoingia madarakani inakuwa na mtaji wake. Huo ni msemo maarufu wa wataalamu wa sayansi ya siasa na utawala bora kote duniani. Kwamba utawala mpya unapoingia madarakani unapenda kufanya kazi na aina ya viongozi unaowataka iwe kwa kuibua wapya au kuchagua miongoni mwa...
Zama mpya na mambo mapya. Samia Suluhu Hassan ndio Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mara baada ya kula kiapo leo, akichukua nafasi ya Hayati John Pombe Magufuli.
Baada ya kula kiapo, Rais Samia Suluhu (Double S) tukamuona mpambe mpya nyuma ya Rais Samia, kinyume na ilivyozoeleka na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.