Geza Ulole
Kuna baadhi yetu wakati tunakuwa (growing up) tulisikia sana neno Geza Ulole, hata wakati mwingine tuliweza kuimba mashuleni kuhusu Geza ulole, baadhi yetu hatukuelewa maana halisi ya geza ulole. Kulikuwa na bendi kadhaa za muziki ambazo ziliimba kuhusu watu wahame kwenda Geza...
JF imekuwa ni mahali pa kupashana habari na kuweza pia kuzungumzia mambo ya historia yetu na mwelekeo wa nchi.
Kuna Huyu bwana anajulikana kama marehemu Dr Kleruu, mie nimekuwa nikimsikia katika wimbo wa Mbaraka Mwinshehe kuwa alikuwa mwanamapinduzi.
Je, kuna yeyote anaweza kutupatia taarifa...
Katika matukio ya siku hizi mbili zilizopita kuna kitu ambacho kila nikikisikia na kukifikiria naona kama vile sielewi vizuri labda wenye upeo zaidi watusaidie kuelewa. Huyu mtanzania mgonjwa wa akili alikuwa kalazwa Muhimbili, basi kichaa chake kikamtuma achukue stand ya kutundikia maji...
This issue of closing our universities really beats my understanding, I remember last year when Dar university was closed. That a learned fellow, Vice Chancellor of Dar University actually can sit down with other Dons to unanimously declare the closure of the University. Is this some sort of an...
Two decades ago Alpha Blondy was among the house hold names with his provocative music and descriptive lyrics. He may not be popular any more with our generation, however, his music still brings taste and flavor into the hearts and souls of many. Among many of his compositions, America, Break...
Rafiki yangu nakuaga mimi oooh,
Nataka kuzamia meli nienda ngambo
Kutafuta maisha eeh, kwani naona maisha ya hapa nyumbani kaka eeh
Yamenishinda
Nakula kwa tabu, Navaa kwa tabu eeh
Kulala kwangu ghetto
Basi naona shida tupu eeh
Shida tupe eeeh
Sina raha maskini mimi ooh
Sina raha...
Kuna huyu jamaa rafiki yangu mara kwa mara amekuwa akija kutafuta ushauri kwangu, mara ya mwisho kaniambia kuwa kila akilala na mkewe anawaota ma-ex wake nikashindwa kumsaidia, juzi kaja kuniambia kuwa kwa wiki mbili mfululizo amekuwa akiwaota ma-ex wake one after another mpaka akamwambia my...
The folk song " Tanzania Nakupenda Kwa Moyo Wote" was probably the country's unofficial national anthem by its popularity. It was widely embraced then by many mainstream politicians and was often sung at rallies, demonstrations and in schools. From my young days and a humble beginning in singing...
Changamoto kwa waTanzania
Kwa vile hapa JF tumekuwa na tabia ya kupeana habari, kurekebishana na kupeana mikakati nimeona kuwa tukiwa na uchaguzi ambao hauko mbali sana tunaweza kuwa na mikakati au changamoto za kuleta maendeleo na mabadiliko katika nchi yetu.
Kuna wakati ambapo watu...
Kwa vile JK kaamua kutokuwa na press conference kwa miezi miwili sasa na hata press yenyewe anapokuwa akiongea nayo inaonekana wapo ku-m-praise na sio kumuuliza maswali ya mwelekeo wan chi na hali halisi ilivyo kisiasa.
Katika kutafuta majibu ya maswali mengi na kumpata rais wetu atupe majibu...
Leo katika taarifa ya jioni ya BBC wametangaza kuwa mahakama ya kimataifa ya the Hague iko mbioni kutoa warrant ya kumkamata rais wa Sudan bwana Bashir kutokana na uhalifu na maovu juu ya binadamu katika eneo la Darfur na maeneo mengine ya Sudan. Pamoja na kuwa uovu mwingi umefanyika Darfur na...
Live, Eat, Drink and Breath JF
It is amazing that mafisadi wanachungulia JF kila kukicha kuangalia nini kimeandikwa, JF haitalala hadi kimeeleweka. Wapo wanaotafuta habari za kufanyia kazi hapa na wanaotafuta sababu za kuondoa credibility ya JF kama ni mtandao wa majungu pia hapa hapa. Ukweli...
Hapa naona kama tunaletewa kiini macho hivi, Juzi Ludovick kasema Mkulo mwenyewe aelezee watu kayatoa wapi hayo kuwa pesa za EPA si za serikali wala BOT. Leo Ludovick kama vile kaletewa maono sijui kutoka wapi ana-support kuwa pesa sio za serikali. Hii ni dhahiri kabisa kuwa tayari mbinu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.