Search results

  1. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Mmojawapo ni Christina Diamond. Tangu ahamie kwa Mond hashikiki tena.
  2. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Mkuu mapstor wa siku hizi ni wachumiatumbo. Mapastor walikuwa zamani.
  3. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Mkuu hoja yako sasa ni ipi mbona huja concoude? Hujaeleweka bado.
  4. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Mkuu unasema watu wanateseka na growth za wengine wakati unaona kabisa kuwa jamaa ni conman? Growth at whose expense? Growth at the expense of the poor and the underprivileged is immoral and totally unacceptable.
  5. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    According to human standards
  6. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Gugu vizuri mkuu. Uvaaji wake ni utata tupu.
  7. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Wanatamani siku moja awatongoze eeh?
  8. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Awavutie kwani anataka kuwachumbia mkuu?
  9. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Kumbe huyu jamaa inawezekana sio mchungaji bali ni motivational speaker anayetumia motivations zake kupitia biblia.
  10. tpaul

    DOKEZO Mtanzania huyu alikuja Marekani kusoma, akapata changamoto ya Akili, sasa hivi anaishi Mtaani, anahitaji msaada

    Balozi za kwetu ni za kipumbavu sana. Hazina msaada hata chembe kwa watanzania wenzao wenye shida. Mtu katoa taarifa na ameelekezwa jimbo alipo. Wanashindwa kutrack hadi wampate na kumrjesha nyumbani. Hawa watu ni qumer sijawahi kuona.
  11. tpaul

    Loud speaker ilinifanya nijue fundi anatoka na jirani yangu

    Mkuu umeongea kweli kabosa aisee!
  12. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Umenena vyema mkuu.
  13. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Sasa tuwaache hao wanawake waendelee kuliwa au tuwashtue?
  14. tpaul

    Kweli Iran bado Mtoto mdogo sana kwenye game

    Hata Magu alinusurika kumuua Tundu Lissu matokeo yake yeye ndiye akatangulia.
  15. tpaul

    Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

    Ngoja awapige hela wajinga. Kumbe hafanyi miujiza?
  16. tpaul

    Router za TTCL

    Unlimited kwa mwaka ni sh ngapi na speed yake ipoje mkuu?
  17. tpaul

    Router za TTCL

    Naipataje na gharama zake ni sh ngapi mkuu?
  18. tpaul

    Router za TTCL

    Ila hao halotel huduma zao mbovu sana mkuu. Sitaki hata kuwasikia.
  19. tpaul

    Router za TTCL

    Kwani inafungwaje mkuu? Inafungwa kama nyaya za simu ya upepo?
Back
Top Bottom