Mavazi ya Mchungaji Tony Kapola yachunguzwe

Nikajua anavaa kiajaaabu sasa kijana kajipigilia pamba za vunja bei mnaanza dis!

Ila Wabongo ni watu wanaopenda kupangia watu namna ya kuishi na lifestyle kiujumla,
Kiufupi sijaona mavazi ya Pastor yaliyopasa kufunguliwa uzi yaani mtu amepoaaaaa kijana ana inspire vijana waende kwa sir God wakiwa hawana lawama wala mawaa ila still kuna wazee wanakuja na mitazamo ya kila pastor avae kama Ngumbaru old stylez

Anyway ukiona huelewi mambo ya Pastor Tony nakushauri uende kwa Pastor Maghembe!
😁😁
Kuna article imepostiwa leo inasema "Maskini wanaongoza kwa roho mbaya" nadhani ina ukweli - kwa mawazo fikra na mitazamo mgando. watu wanateseka kucontrol hadi oxygen anayovuta mtu mwingine - yani u control lifestyle ya wengine kabisa -what a boring world it will be . Sheria za nchi zimevunjwa NO, hatukana NO, kakuibia NO ila bado kuna wataoteseka na growth za wengine.
 
Kuna article imepostiwa leo inasema "Maskini wanaongoza kwa roho mbaya" nadhani ina ukweli - kwa mawazo fikra na mitazamo mgando. watu wanateseka kucontrol hadi oxygen anayovuta mtu mwingine - yani u control lifestyle ya wengine kabisa -what a boring world it will be . Sheria za nchi zimevunjwa NO, hatukana NO, kakuibia NO ila bado kuna wataoteseka na growth za wengine.
Mkuu unasema watu wanateseka na growth za wengine wakati unaona kabisa kuwa jamaa ni conman? Growth at whose expense? Growth at the expense of the poor and the underprivileged is immoral and totally unacceptable.
 
Its true you cant argue here, neither capable to do so- it needs a mature mind, an exposed demeanor and a wider perception to issues . Misingi ni yako- the world doesn't revolve around your beliefs and regulations- your interpretation of holy books are yours , stand on them , excel on them and let others do their deeds . Dress codes aren't a measure of ones faith and discipleship.
Yeah! I always stand with what my faith rely on, rather than from your Way to convince someone with the manner copied to some named themselves as God's word preachers, lacking code of ethics on what they pretend to be entrusted by God.

Let your light shine on all people.
 
Nikajua anavaa kiajaaabu sasa kijana kajipigilia pamba za vunja bei mnaanza dis!

Ila Wabongo ni watu wanaopenda kupangia watu namna ya kuishi na lifestyle kiujumla,
Kiufupi sijaona mavazi ya Pastor yaliyopasa kufunguliwa uzi yaani mtu amepoaaaaa kijana ana inspire vijana waende kwa sir God wakiwa hawana lawama wala mawaa ila still kuna wazee wanakuja na mitazamo ya kila pastor avae kama Ngumbaru old stylez

Anyway ukiona huelewi mambo ya Pastor Tony nakushauri uende kwa Pastor Maghembe!
😁😁
Mkuu hoja yako sasa ni ipi mbona huja concoude? Hujaeleweka bado.
 
Kuna mmoja jana jumapili siku ya pentekoste nilimshangaa sana akihubiri injili ambayo hakuipokea tangu akiwa kijana, najua ujana wake alikuwa moto ila sasa anahubiri injili nyepesi ya kuridhia urembo uliopigwa marufuku enzi hizo. Alimuinua mama mama mmoja alisuka rasta na kujipaka lipstick na wanja akimsifia kuwa anafanya vema kuonekana ana hela za kununua mapambo hayo, hivyo wanawake wote kanisani wawe na hela za kufanya maendeleo ikiwemo kujipamba kwa mapambo ya gharama si dhambi. Tuje kwa hawa vijana wa kileo watumishi wa mungu akina kapole na masanja wanavaa hovyo sana. Ni wachungaji lakini uvaaji wao ni utata mtupu, watasababisha hata mabinti wa makanisa ya nao watavaa hovyo kama wachungaji wao.
Mkuu mapstor wa siku hizi ni wachumiatumbo. Mapastor walikuwa zamani.
 
Hiyo ni tisa, kumi ni wale ma madame nao watavaa kitatanishi madhabahuni mwao na hakuna wa kuwakemea, kwanza ni warembo na wameumbika vizuri miili yao wataanza kuvaa nguo za kubana ili miili yao ionekane walivyojazia kila kona. Hawana sera ya mavazi makanisani mwao.
Mmojawapo ni Christina Diamond. Tangu ahamie kwa Mond hashikiki tena.
 
Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?

Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.

Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.

Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla

Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU

Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa

Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu

Nawasilisha.
Mkuu mbona hamna Picha?
 
Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?

Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.

Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.

Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla

Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU

Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa

Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu

Nawasilisha.
Mbona hakuna picha.?
 
Nilipohoji kuhusu uvaaji wa mchungaji Tony Kapola kuna watu hususan wanawake walinivaa kwa ukali kwamba nina wivu niwaachie mchungaji wao, kwamba uvaaji wake ni wa kawaida, kwamba uvaaji wa kisasa kwa Watumishi wa Mungu sio tatizo. Binafsi niwaambie UTUMISHI WA MUNGU ni mgumu na unahitaji usiriaz kuliko wengi mnavyofikiri, Yohana alijinyima hadi kuvaa magunia na kula nzige jangwani mnafikiri utumishi ni mwepesi?

Tunarahisisha mno utumishi wa Mungu miaka hii ndio maana wahubiri nao wanahubiri injili mpya nyepesi ya kisasa iliyopakwa maneno matamu ya miujiza, utajiri na mafanikio, hawaihubiri ile injili pure ya Ufalme wa Mungu, ile ya kukemea dhambi kwa ukali wake.

Ndio maana tunaskia Watumishi wengine wanasema hata dukani sigara weka biashara sio ibada, wengine wanasema ndoa sikuiz sio mwili mmoja, wengine wameenda mbali na kusema pesa za majini sio haramu. Utumishi wa Mungu umeonekana ni simple tu hadi kina Irene Uwoya wanataka kufungua makanisa sasa huku bado miili imejaa tattoo.

Mwenyezi Mungu muumba wa mbingu na nchi anahitaji Watumishi VIELELEZO KWAO WAAMINIO. Katika uvaaji, unenaji, utendaji na mwenendo mzima wa maisha kwa ujumla

Kwa Mungu hakuna usasa, sheria zake ni zile zile WAACHE DHAMBI NA KUNIABUBU

Mahubiri ya utajiri, pesa, miujiza na mahusiano yasitutoe kwenye mstari, Mungu sio mrahisi kama tunavyoaminishwa na Watumishi hawa wa kisasa

Tunapaswa kusali kwa imani, kutubu, kufunga na kuomba, Tunapaswa kumuogopa Mungu na kumuabudu kweli. Tunapaswa kuyaheshimu madhabahu yake. Tunapaswa kutambua Mungu ni mtakatifu hadhihakiwi wala kuchanganywa na aina yoyote ya uchafu

Nawasilisha.
Sasa ndiyo usiweke hata picha? Malalamiko gani haya?
 
Kumbe huyu jamaa inawezekana sio mchungaji bali ni motivational speaker anayetumia motivations zake kupitia biblia.
Nilishangaa kusikia Tony eti kawa mchungaji na ana kanisa! Ila dunia hii hakuna majitu majinga kama sisi watanzania! Yaani yanakubali kuibiwa mchana kweupe kabisa, hawa si wajasiriamali hawa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom