Search results

  1. Z

    Manufaa ya Teknolojia ya Uhandisi Jeni (Genetically Modified Organism) kwa Maendeleo ya Kilimo

    Katika kitabu cha ‘Starved for Science, How Biotechnology is being kept out of Africa’ cha Mwandishi Robert Paarlberg kuna hoja nyingi juu ya kwanini wakulima wengi barani Afrika ni maskini kutokana na kupuuza teknolojia ya uhandisi Jeni. Katika nchi yetu, wakulima wetu na jamii imepotoshwa...
  2. Z

    Aliyekua Rais wa Misri, Hosni Mubarak, aachiwa huru

    As a court in #Egypt reviews a petition for the release of deposed President Hosni#Mubarak, what kind of an impact might his potential release have? Will it ignite a popular anger? Is this due process or is it turning the clock back to a native autocracy? Source: BBC
  3. Z

    How to hack remote computer using ip address?

    Confirm the website or a computer you want to hack. Find or trace their IP address. Make sure that IP address is online Scan for open ports Check for venerable ports access through the port Brute-force username and password First, getting the IP address of victim. To get the IP address...
  4. Z

    how to make your computer welcome you>>

    Paste this into Notepad and save it as Welcome.vbs CreateObject("SAPI.SpVoice").Speak"Welcome to your computer!" CreateObject("SAPI.SpVoice").Speak"Enjoy!" When saved press the windows button(beside alt), click on "All Programs", scroll for a folder named "startup", right click on it...
  5. Z

    Jinsi ya kutambua kama Ant virus unayotumia ni fake or orignial.

    - Press window key + r, to open run command and write Notepad -Then copy and paste the following code X50!P%@AP [4\PZX54(P^)7CC)7}$EICAR-STANDARD-ANTIVIRUS-TEST-FILE!$H+H* -Then press CTRL + S to save this file as W2H.vbs on your desktop Kama antvirus yako ni original na inayofanya kazi vizuri...
  6. Z

    Serikali na mamlaka husika za kuzuia majanga

    Kutokana na foleni zilizo kisiri katika mji wa Dar es salaam kadri siku zinavyo zidi kwenda, kuna ualazima wa serikali na mamlaka husika za kuzui majanga hasa ya moto kufanya jitihada za maksudi kuhakikisha magari yote yanayobeba mafuta ( yalipukayo ) pamoja na Gas mfano LPG, Carbondioxide...
  7. Z

    Tabia ya wanando kutoka nje ya ndoa zao....

    MMU habari zenu! Nianze na hili jambo ambalo linakua kwa kasi sana hapa mjini na kwingineko. Wapenzi waliopo ndani ya ndoa, kumekua na tabia ya kuzi sariti ndoa zao hasa kipindi kama hiki ambacho hii tabia imeshamiri Je? hali hii inasababishwa; -Wahusika kuto kulidhishina -Walioana kwa...
  8. Z

    Nimezaliwa Upya ndani ya Jf

    Naomba mnipokeni ndugu zanguni wapendwa!
  9. Z

    Kupunguza size ya uume.

    Ni njia zipi, zinaweza kutumika kupunguza size ya uume. copy: MziziMkavu
  10. Z

    mimisa umeona Mr Rocky Karudiana na Dena.. Bishanga anakuita nyumbani

    Bishanga waambie warudishe madeni hao watu, hasa sosoliso na Paloma... kachukue na ile gari uliyo muazima Lady doctor. The secretary kasema anataka kuhamia .................... alafu namuonaga Vin Diesel anakuja nyumbani... sijui kutafuta nini... - Mungi hajapigwa Ban kweli jamani? ah ah ah...
  11. Z

    Nimepoteza mkanda wa kiuno...

    Nimepoteza kipenzi changu Jamii Forum! Nimepoteza mkanda wa kiuno... nitarudi...... Jina lake ( Jina ) ............. Nimepoteza Kipenzi changu Jamii Forum! ................. kama kule MMU sijui, amakule Great thinker sijui,.. ama kule Chit Chat.. au ..........sijuiii Popote alipo...
  12. Z

    Nyie wafuatao... mtaacha lini... ili nawengine wapate izo nafasi!

    Jamani na nyie tenganeni mtuachie hata nafasi wengine...... 1. watu8 na measkron 2. sosoliso na baby Paloma 3. Judgement na YNNAH 4. Madame B na Arushaone, Chimbuvu, na wengine walio baki kama komando, na Ben Saanane hisani ya manoahAID ... Kamanda wenje alimaanisha urafiki na ccm na sio kama...
  13. Z

    Kwenda kwa Mwenyekiti Baba V...

    Kwenda..: Muheshimiwa mwenyekiti wa Chit Chat..! Nakuomba unisamehe, kwa kosa la kutaka kukupindua, yanayo nikuta ni zaidi ya majanga. Sitorudia tena mwenyekiti wangu Baba V hata daddy nae kanipita live pale wapi vilee.... kuna mtu alioteshwa manyoya mwilini.....
  14. Z

    sosoliso, Baba V, amu alafu na wewe mimisa.... Erickb52 ndio umeamua? Mrembo by nature siwezi....

    sosoliso , Baba V , mtuache na familia yetu mbona mnatuzonga zonga sanaaaa.... Popote nitapo kutana na nyie cha moto mtakiona... amu amu amu nakutazama tu... wewe unafurahi mie kuachwa>? mie hadi nachanganyikiwa, wewe unanufaika na nini.... au unamkuadia eeeh! Paloma Paloma utuache na familia...
  15. Z

    Mrembo by nature utaniacha lini..?

    Mrembo by Nature, Jumamosi ulinifanya niwe nafuraha na kuona dunia nzima niyangu kwa raha ulizonipatia.... hadi sasa ivi nikikumbuka yaani yaani dah! basi tu, sasa nauliza utaniacha lini au kabla ya kuniacha kutakua na jumamosi nyingine special kwa ajiri ya kuniacha? Copy: Sandeni, Baba V, king kan
  16. Z

    Mzigo wa simu kutoka Abu Dhabi..

    Anae hitaji simu.. anaweza fanya mawasiliano na mimi kupitia PM
  17. Z

    Tafadhali inakuhusu na usiwe mkali hadi unitishie kwenye PM

    Wanawake, wasichana, na wamama waliozaliwa chini ya mwaka 1980... Wanajua kumtunza mwanaue, wanajua wajibu wao ipasavyo, hata M A L O V E wanayajua na yale mambo mengine mazuri mazuri unayo yajua wewe... Wanawake, wasichana na wamama waliozaliwa juu ya mwaka 1981... hawa hawana lolote, ni...
  18. Z

    Nivea upo server number ngapi nije kukupa pole...

    Nivea tunakumiss huku jamani.. upo serve number ngapi nije kukupa salamu. "The world will not be destroyed by those who do evil, but by those who watch them without doing anything" By Albert Einstein.
  19. Z

    Udaku special........

    - Baba V asugua benchi baada ya kupigwa chini hii imetokea huko Chit Chat -Mwigulu Nchemba hajulikani alipo potelea source: siasani -Dr. Slaa akataa mjadala na Nape source: siasani - Bi mona anahitaji mume source; Love connect - wanawake wanapenda 0713 source : MMU -Pengo atishiwa, pesa ndefu...
  20. Z

    Tangazo toka kwa mwenyekiti manoah.

    Taarifa rasmi: -Kuanzi sasa maombi ndoa yanapokelewa ofisini kwangu 24hrs, na yatashughulikiwa ndani ya dk arobaini na ndoa kufungwa. -Ndoa zote zilizo kwenye migogoro, naomba hiyo migogoro ikome mara moja. -KE wanaruhusiwa kuolewe mwisho mara nne, ( wake wa Bishanga hawaruhusiwi ) -me...
Back
Top Bottom