🥹 nilipiga kavu ila chin ya dakik 2, nilisukuma mar 5 nkawa nmemaliza na bint alikua mgonjwa anatumia dawa ingawa aliniambia alizaliwa nao na anatumia dawa vizuri ila nlipagawa san, nlianza pep ndani ya mda na mpak leo ni siku ya 32 nilisha maliza pep, sas je nipime lin tena maan kwa hiz siku 32...
Kaka mi mwenyewe nmekoma nlilala na bint positive na baadae ndo ananiambia na kuchek ikawa kweli🤦🏻 kaka acha tu yan nlitaka kufa, ila nashukuru mungu nliwahi kwenda bugando kuchukua pep ndan ya masaa 13, nkaanza dawa na mpaka hapa leo ni siku 32 toka nmalize pep na nmecheki niko clean ila mwez...
Wakuu nlileta kisa hum baada ya kusex na binti anaetumia dawa na hakuniambia, ila siku anakuja mda ulikua umeenda sana na nlitakiwa kuwahi kazini..so kwenye ile sex nlifanya chini ya dakika 2 nkawa nmemaliza ila baadae nkaambiwa alikua mgonjwa, ilikua siku iyo iyo kama masaa 3 baadae, ko ikabidi...
Iyo dawa inaonekana inasaidia san mm nmebakiza vidonge 2 toka nianze kumeza nlikutana na bint anatumia dawa za HIV na hakuniambia, nkapig ila dakik 2 tu au 1 na nusu maan nlikua nawah job ko kesh yake nkaambiwa ikabid nipande bugando kwenda kuchukua izo daw, af nikapimwa ko nkaanza mpak leo...
Mwanzoni nlikia na hofu ya namna ingekuwaje, lakin mtoto alipozaliwa ikawa furaha sana..ila baada ya kuvurugwa na mama wa mtoto niliwapotezea mpaka leo na hua sina hata wazo kuhusu wao
HIli swal nmejiuliz mara kadhaa kwann, asingeniambia ili nichague.. hat iv kun mda san hap kat kat amenizungukia ila nkawa nakosa mda kabs yan na hat siku iy ni bas tu
Naamin kaka na hapo nyuma huo ulikua ndo mtindo wang lakn sijui hii cku ilikuaj, kun mda nasem bor hat sikuiy nisingekuwep ili kupishan nae kabs, na ndo ilikua mar ya 1 lkn nachokishukur ni mda pia hatukuzid hap na hat izo 2 nimekadilia tu maan nadhan hat hapo ckufik nkaw nmemalz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.