Ntaanza na Michezo na sanaaa, Hapa ntajenga miundombinu ya kila aina kwenye michezo kama viwanja na Vyuo kwa ajili ya kupata wataalam ambao tutawatumia ndani na wengingine watasambaa dunia nzima, Ntakuja kwenye kilimo hapa ntahakikisha Tanzania tunaacha kabisaa kutegemea mvua. Ukocheki kwenye...
Lakin mkuu wa Mkoa nae kazingua. Alipaswa kumwambia huyo mtumishi maneno hayo off Mike. Hii ingemsaidia kumjenga kuliko alivyofanya sasa. Itamshusha sana hali ya kujiamin hata kama ni mfanyakazi Mzuri.
Lakin na huyo Meneja naye ni changamoto, Kwa kumuangalia tuu sina shaka kuwa ni mfanyakazi wa...
Moya ya nyakati mbaya sana hii kucheza na Yanga iliyokatika peak ya juu ya Ubora wake. Sisi kama yanga tunaweza mfunga yeyote hapa tz. Mtani njoo kwa nidham uwanjan kinyume na hapo ni maafa
Binafsi Namuunga Mkono kwa asilia nyingi tuu. Hizi teua tengua, Teua tengua inaonesha udhaifu uliopo katika kufanyia Vetting kwa wanaoteuliwa. Mtu anakosea hapa anahamishiwa pale. Uongozi umekuwa kama zawadi kwa watu flan
Umeanza kueleza vzuri sana mpaka nikavutiwa kusoma story yako. Ila ulipofika pale Mara Birthday yang ilikiwa inakaribia, Mara boys hawakuniwish sabab ya Wivu nikajuq tayar shida ipo hapa. Anyway hiyo ipo kwa kila mtu na nazani inatofautiana kwa mtu na Mtu. Hujawah kukaa unasikiliza redio na...
Mindset Kama zako ndio zinafanya Yanga azidi kuchukua ubingwa na wenda akacheza nusu fainali mapema zaidi kuliko si simba. Si mashabik wa Simba sijui tuna matatizo gan kichuani kutwa tupo kubeza ubora wa Yanga kwa maneno ya kupotoshwa at wananunua Mechi!!!! How??? Yaani timu inacheza mpira...
Binafis naungana na wew kwa asilimia Mia.. Wapewe mshahara usiozid 3M per Month plus na Viposho vya kawaida katika vikao. Bado naamini tutapata wabunge bora zaidi na wanaoweza kuwatetea vyema wananchi. Mawaziri pia ikiwezekana wasitokane na wabunge wawe huru na waliobobea kwenye sector watakazo...
Zingatieni mambo yenu, Achaneni na Yanga kabisaa. Mnaweza sana kubeza mafanikio ya Yanga kuliko kuandaa timu yenu. Simba si mbovu kiasi mnachoizungumza
Bila kupoteza wasaaa, Mimi Heyyouyoungman ni mgeni hapa jamii forum, japo nakili kuifahan JamiiForums toka mwaka 2010 nikiwa kidato cha pili katika shule moja wapo huko Rukwa.
Nimekuwa nikisoma thread mbalimbali za humu jamii forum na kuvutiwa na watu kadha hasa mwanadada To yeye , na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.