Kama unajua umuhimu wa finishing hata kwenye ujenzi utaacha hii tabia ya kuomba namba bila kuwa na sababu za msingi,
Binafsi hii tabia inanikata. Unakuta mkaka ushampia hesabu zako halafu anapotea na namba yako.😇
Mtu mpaka anakuwa single maza kuna sababu kadha wa kadha ikiwemo kutalikiana na kifo cha baba watoto nakadhalika, sasa huku Tz naona imebase kwa walioachwa au kuachana.
Tatizo wadada mnaosema hawajazaa wakiwapiga matukio mnakausha hamji kuwasanua wenzenu huku. Mnaishia kujiua...
Mbona uzi umekaa kimitego sana😃
Hali njema Mkuu.
Sema ni hivi, unajua kibinadamu huwezi kosa dosari ukawa fiti fitings, kwahiyo kama unapumua sema alhamdulillah.
Ukisema sina ela kuna mwingine anayo ila anaugulia kidole.
Ukisema unaumwa kucha mambo yote safi, kuna mwingine haumwi ata mkono...
Mwanamke bila uvumilivu hujawa mwanamke, kwa maana mitihani hiyo ipo mpka kwenye ndoa, fikiria umeolewa halafu unaletewa kitoto cha nje ulee.
Mungu akupe uvumilivu wa kike uweze kustahimili.
Tangu niwe mama, nimekuwa na hisia sana juu ya huzuni za watoto(ata kama sio mtoto wangu) nikiona mtoto anafanyiwa vitendo vibaya nalia mno, mpka tumbo linabana. Uchungu nilio nao kwa watoto umevuka mipaka.
Imagine hapa tunavyojadili video hii kuna mtoto/watoto wengine wanapitia ukatili kama huu au zaidi.
Kwa uhalisia wa maisha ya kitanzania uhitaji wa house girl haukwepeki.
Tafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.