Search results

  1. miviga

    Serikali na Wasafi TV mlitakiwa muwe mmeshakuchukua hatua za kinidhamu kwa Makonda na Oscar. Ukimya wenu unamaanisha mmebariki udhalilishaji huo?

    We go along on the other thread, we quarrel on the other, by the way I live you. ❤️
  2. miviga

    Tunakula ili tufanye kazi na sio tunafanya kazi ili tule

    It all depends on what you think is the purpose of life, For some, working hard guarantee better tomorrow, For some tomorrow doesn’t exist, they live moment to moment, Other, world is a test and they have to examine every step they take. Weather you eat to work or work to eat, if you are...
  3. miviga

    LIVE Je, nini kifanyike ili kuongeza Ushiriki wa Wananchi katika Mapambano dhidi ya Rushwa?

    Tatizo sio ushirikiano wa wananchi, tatizo ni uwajibukaji wa vyombo vya serikali. Sijui mfano mzuri ni report za CAG ambazo wabathilifu hawawajibishwi. inshort goverments entities are jokes
  4. miviga

    Kwa anayemfahamu mgonjwa aliyepo pichani atoe taarifa

    Watoe na barua kua wamesamehe madeni ya gharama
  5. miviga

    Siku hizi kila mgahawa una banda la chipsi, na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi

    Vipi kuhusu mboga? Mana mi wananikera na viungo vyao vya dukan sijui ni madude gani yale
  6. miviga

    Ukitaka kuonekana kijana kuwa na mtindo mzuri wa maisha

    Exactly, most of our bodies makeup is heredity.
  7. miviga

    Kuungana kwa Kagame na Ruto, taa nyekundu imetuwakia Tanzania

    Tishio ni walio madarakani wasio na maono, anything else is excuse.
  8. miviga

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    Nimefurahi sana, jamaa anaonekana anaishi na ghasia za kila namna, anaweza kuja akarula na wewe as if ndo mhusika
  9. miviga

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    Eeh mr maleven, mmalizane humu humu, mchane mchane
  10. miviga

    Naomba ushauri kulingana kipato changu na maisha ninayoishi

    Vyaa bure gharama, chumba cha bei ndogo, utapanga foleni ya chooni, kuna uti, unakosa privacy, usalam wako na vitu na mambo kibao, mantiki ya hela ni kurahisisha maisha .
  11. miviga

    Naomba ushauri kulingana kipato changu na maisha ninayoishi

    Maisha unayoishi ni standard, angalia jinsi ya kuongeza kipato na usitafute namna ya kujitesa.
  12. miviga

    Siku hizi kila mgahawa una banda la chipsi, na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi

    Mkuu nilipo ndo utapata hasira zaidi hivi vyakula sijui wali ndiz nk, bei ndo inaanza elf 5 ila ukilipa utasonya tu, kuoika hawajui af wanajifanya brand. So i opt fo chips
  13. miviga

    It's the community responsibility as it is the government's too, on selling alcohol and vapes to minors

    Yes, off course, but it is no longer possible due to social-economic change of the moment
  14. miviga

    Siku hizi kila mgahawa una banda la chipsi, na 90% ya wateja utawakuta wanakula chipsi

    Kwa Dar migahawa mingi hawajui kupika, wanachojua ni kuweka nyanya na nazi za dukani tu, So alternatively unaona bora ule chips tu
  15. miviga

    It's the community responsibility as it is the government's too, on selling alcohol and vapes to minors

    As i keep growing, I tell to trust more the issues of devil, I think that is “ human excuse of there wrong doing “. It is more practical.
  16. miviga

    It's the community responsibility as it is the government's too, on selling alcohol and vapes to minors

    No way, you can’t add more work for teachers unless they are doubled of the current size, teaching class subjects and then focusing on moral issues is not easy. Things will be more worse as we keep turning into more “individual values rather than family or community values “ we now act as...
  17. miviga

    Mke wangu anajiona mzuri sana halafu kumbe wa kawaida

    Inaonekana amekuzidi ujanja
  18. miviga

    It's the community responsibility as it is the government's too, on selling alcohol and vapes to minors

    So you want to say that alcohol is illuminant thing or what?
  19. miviga

    It's the community responsibility as it is the government's too, on selling alcohol and vapes to minors

    Before the biggerr group of the community, we first have to start at the family level, it is well known that “ community is a crucial agent of socialization”, the problem is that, the sense of family has now gone, parents are busy to make money, most children are indoctrinated by schools and...
  20. miviga

    Nafikiri hizi nyimbo 20 za rap ya Bongo ndizo bora kwa muda wote

    “Vizuri viko wapi navisaka havionekani, napata makapi, vinono navitamani” stamina kabwela ia the best
Back
Top Bottom