Search results

  1. F

    Naomba kujuzwa faida za kuwa na GREEN CARD ya Marekani

    Wana familia wa JF, Humu ndani naamini wapo Watanzania ambao wanaishi Marekani kwa nguvu ya GREEN CARD. Kwa faida ya wengi, naomba yeyote anayejua au amefanikiwa kuwa na Green Card ya Marekani ni kwa namna gani imemsaidia kuishi huko USA na kwa namna gani imemsaidia kupata kazi nzuri na kuweza...
  2. F

    Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

    Sababu za wanawake kuwa single Maza; 1. Kausha damu - anakuwa na mwanaume yeye anamgeuza kitega uchumi chake mwisho wa siku mwanaume anachoka na yeye anatumia may be kushika mimba unplanned au kuwa na mtoto ili iwe sababu ya kumkamata huyo mwanaume, mwisho wa siku mwanaume anasepa 2. Wanawake...
  3. F

    Maisha ya uzeeni bila hela ni tabu sana

    Tafuta fedha wekeza kwa miradi isiyo na stress ukifika umri wa kutulia hapo unakula pension yako taratibu. Mfano Mimi nimeamua kuwekeza kwenye nyumba za kupangisha. Ukiwa na nyumba like 6 ambazo each inakuingizia like 300k meaning that per month utakuwa na kama 1.8 Million. Then 1.8 Million...
  4. F

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Nakumbuka wakati nipo ugaibuni nilikuwa nalala almost kama masaa matatu tu basi out of 24 hours. I remember nilikuwa naweza kuingiza hela ya kibongo by then like 4 million Tsh na hapo nimeshakatwa Kodi Yao 36%. Yaani unapiga box huku unasoma. Kuna muda unajiuliza hivi nimekuja huku kusoma au...
  5. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    Mkuu asante sana. Maana yangu ilikuwa hiyo "loyal" , sema hili ni tatizo langu la kuishia form four D, na nilijieleza mapema kuhusu hilo. Ubarikiwe sana, na jumapili njema
  6. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    Mkuu labda nikukumbushe kitu. Mwanamke anayejitambua na kutambua thamani ya "Mume" always anakuwa "loyal" kwa husband au mpenzi wake no matter kiwango Cha elimu alichokuwa nacho au cheo alicho nacho. Kwa hiyo awe ana elimu ya Diploma ya record management au LLB au masters of Engineering, MBA au...
  7. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    Kwa mtazamo wangu sidhani kama mwanamke akiwa na masters degree itamfanya aukane uanamke wake hasa kwa kuzingatia "gender roles". Ndio maana nimesema mwanamke mwenye elimu kuanzia kidato Cha nne au zaidi. Maana yangu ni kuwa wapo wanawake wasomi na wenye nafasi nzuri au kazi nzuri wanawajibika...
  8. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    Mkuu inawezekana kutokana na elimu yangu ndogo nikawa nakosea matumizi ya hizo alama either kwa kujua au kutokujua. Lakini ninachomaanisha hapo ni msisitizo wa kitu muhimu cha kuzingatia kwa maana ya point to note to the reader. Kama nimetumia kimakosa basi nadhani kwa sababu ya elimu yangu hiyo...
  9. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    Mkuu elimu yangu ni ya kidato cha nne kwa maana ya "Form Four". Kuwa mume bora haimaanishi lazima uwe na elimu ya Diploma au Degree. Vivyo hivyo kuwa "Mke Bora" haimaanishi lazima awe na elimu kubwa ya Diploma au Degree lakini ikitokea akawa na sifa hiyo basi ni jambo jema na la kumshukuru...
  10. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    Asante sana Shem wangu ngoja nipambane huu upweke kuishi alone mhmhm nimechoka shem
  11. F

    Natafuta mpenzi aje kuwa mke

    A life of a "really man" is incomplete without a really "woman" who has merits of being a "wife". Not every man has a merits of being husband, similarly not every woman has a merits to become a wife. Mimi natafuta mwanamke ambaye toka ndani ya moyo wake anatamani kuwa na "Mume" na sio mwanaume...
  12. F

    Natafuta Mke mnene

    Ujue bwana we uhitaji hatubahatiki sijui tunafeli wapi
  13. F

    Natafuta Mke mnene

    Hongera kwa kujilipua . Ngoja na Mimi nijilipue huenda naweza pata jiko
  14. F

    Mrejesho: Nimepata mke tayari, nashukuru wote mlionitafuta

    Mkongwe naomba nisaidie nipate mke na Mimi. Vipi huko kwa wanyaki naweza kupata jiko?
  15. F

    Mrejesho: Nimepata mke tayari, nashukuru wote mlionitafuta

    Hongera kwa kufanikiwa
Back
Top Bottom