Huko Pugu, Dar es Salaam, kuna tajiri na mganga wa kienyeji, inasemekana amemuua mlinzi wake kwa tuhuma za wizi. Na tajiri huo na mganga wa kienyeji ,ametokomea kusikojulikana. Na wananchi wenye hasira, wamemuua kwa kumpiga mawe, baba wa muuaji huyo.
=======================
Mkazi mmoja wa Pugu...
Ikiwa mtu kapata passport ya nchi ,kwa mfano Amerika au Uingereza,kwa kujifanya ni mkimbizi,amekimbia vita anakotoka,akaenda moja kati ya nchi zunazopokea wakimbizi,na akasema amezaliwa katika nchi hiyo yenye vita,akapewa hadhi ya ukimbizi,wakati hakuzaliwa katikq hiyo nchi,wala hata kuwahi...
Watanzania tupendane na kuwakitu kimoja katika dini zetu,bila kubaguana.Familia moja inaweza kuwa na watu wa dini tofauti,na mkapendana na kusaidiana.Unaweza ukapata tatizo wa asiye dini yako,akakusaidia.Au ukakutana na daktari,nesi,mfamasia asiye wa dini yako akakusaidia au dereva au mwalimu au...
Kila unachokiona duniani bila ya Muhammad Musa Alkhawarizim(algorithim),Computer science yote inategemea algorithm.Bado hatujamgosa Algebra na Avecina.Kila unachokiona duniani kilichotengenezwa na binadamu,kinatokana na mahesabu ya Algorithm.
Ibada za Christmax,zimekuwa za solidarity kwa Gaza.Occupied West Bank,ibada zote zilikuwa ni solidarity kwa Gaza.Huku huko Israel,wananchi wamezidisha presha kwa Nyetanyau,ili jamaa zao waliotekwa huko Gaza,warudi nyumbani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.