Wanawake wengi wanatumia ngono kama kiboko ya kumchapia mume. Na ukianguka kwenye huu mtego mwanamke atakuendesha kama gari bovu.
Kwanza atahakikisha anakukoleza na kukupa mahaba mazito ambayo hajawahi kuonekana Dunia hii. Ukiingia mzima mzima sasa ndyo unajikuta hujiwezi. Pasipo ngono basi...
Habari Wana JF.Ni kijana wenu nimekuja Tena kuleta experience yangu ya kuishi na mama mpaka umri wangu huu wa utu uzima.Bila kuwapotezea muda niliyoyagundua ni haya kutoka Kwa Mama na Baba japo sijabahatika kuishi na Baba.
1 Kwanza Mama zetu na Baba zetu wote wanatupenda lakini Kuna utofauti...
Wakuu habari zenu,
Napenda kujua ni kweli lazima kudhibitisha vyeti vya masomo Kwa mwanasheria Kwa kupiga mhuri Kwa mwanasheria ikiwa unataka kuomba ajira serikalini.
Na je Kwa waliowahi Fanya hivi, hii huduma waliipata Bure au mpaka uwe na kiasi Fulani.
##Ajira Mpya
##Wivu utawaua vibaya sana
Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo.
Watu ilibidi waelewe kwanini Rihanna kaamua kuvaa vile na sio kuleta makasiriko yasiyo na maana.
Nanukuu maneno yake: “Mimi ni mdada wa Miaka 24 na ninaishi na boyfriend wangu wa Miaka 28. Tuna mihemko mikubwa sana ya kingono na tunakutana kimwili mara kwa mara.
Wote tunafanya kazi eneo Moja nyumbani. Tunaishi Mimi yeye na Mbwa wake kwenye nyumba tunayoishi.
Juzi Kati alisafiri Kwa ajili...
Jamaa yangu alikuja kwangu akilalamika na kuniambia “Unamkumbuka Jessy yule mwanamke niliyekuambia,aisee ni mwanamke wa ajabu Sana Kati ya wanawake wote niliowahi date nao yeye ni WA tofauti sana”
Nikamuuliza WA tofauti ana nini Cha tofauti??Akaanza kusema “Kati ya wanawake wote niliowahi...
Hili linawezekana kuonekana suala la ajabu ila ndyo uhalisia.Mwanaume mwenye mwanamke au wanawake pembeni hupendwa Sana.
Natolea Baadhi ya mifano
1 Ukiwa huna mpenzi kama mwanaume alafu ukamtaka mwanamke.Akikubali kuwa na mahusiano na wewe lakini akagundua huna mzunguko mwingi wa wanawake basi...
Habarini ndugu zangu Wana Jamii Forums .Mimi ni kijana wa Miaka 26.Natafuta kazi ya Dental Therapist (Daktari wa Meno Ngazi ya Diploma ).Leseni ya kufanya kazi ninayo tayari.
Kwa sasa Nipo Songea,Ruvuma(Ndyo nyumbani)
Matatizo mengi tunayokutana nayo kwenye maisha, kwetu wenyewe na kwa wengine huwa yanaanzia kwenye hisia.
Tunafanya maamuzi fulani kwa kusukumwa na hisia na baadaye tunagundua hayakuwa maamuzi sahihi kitu kinachofanya tuingie kwenye matatizo.
Tunaweza kuzichukia hisia, lakini bila ya hizo...
Wasalam wanajamii forum, Mimi ni mwanaume rijali ninayeishi na mama nyumbani.
Nina tabia ya kurudia nguo hata siku SITA BIla kubadilisha na nikibadilisha naendelea hivyo hivyo huku nikirundika manguo yawe mengi Ili nije niyafue Kwa pamoja.
Mama anapenda Sana kuingia chumbani kwangu na mara...
Salaam wapendwa, Mimi ni mtu ambaye nimekuwa nikikwepa kuweka hela Benki mara nyingi natumia M pesa lakini nimekumbwa na tatizo lililonilazimu kuwa na account ya Benki.
Swali langu ni hili account ipi Haina makato kabisa au ina makato madogo.Nimesikia kuhusu NMB chap chap account je itakuwaje...
Kwanza kabisa salamu wapendwa,Mimi ni mwanaume wa Miaka 26 naishi na Mama nyumbani. Tunaishi vizuri lakini kuna Baadhi ya mambo yananikera sana nikiwa nyumbani;
1 .Hii tabia ya mama kuingia chumbani kwangu bila kubisha hodi, muda mwingine anaweza akaingia akanikuta nimevaa bukta tu au boxer...
Katika pita pita zangu YouTube nikakutana na hili bandiko.
Ni kweli kabisa watu wengi wanategemea wakifanya kazi sehemu Fulani basi wapate ajira siku moja hapo hapo.
Je hii inaweza kuapply Serikalini pia kwamba ukijitolea kazi serikalini unapata kipaumbele?
Je inakuwaje Kwa watu wenye Uzoefu...
Hivi zile slides ambazo walimu vyuoni wanakimbizana kumaliza Kwa haraka huku wanafunzi wakishindana kukariri (Kuzima moto) zina Ufanisi wowote au tunazidi dumaza elimu yetu?
Binafsi nilichukia Sana kulazimishwa kurudia kusoma shule ileile niliyosoma O level wakati nilipenda Sana kubadili mazingira.
Wewe ulilazimishwa kipi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.