Wazanzibari nimeamini Shukrani Hawana
Nilikuwa kijiwe kimoja pale Kisiwandui Zanzibar
Baadhi ya wazanzibari walalamika Raisi Samia kuwapa wazanzibari ajira Bara kuwa wanaharibika na kuua utamaduni wa kizanzibari
Kuwa wakipata ajira Bara wanaharibika na kuwa walevi na Malaya na wasio zingatia...
Kama kukipa Kodi kutenda Haki.kila mtu alipe Kodi ikiweko Raisi ,mawaziri na wabunge
Hilo jukumu.la kulipa Kodi ni la wananchi tu wengine ? Ncho hii Ina matabaka kwenye ulipaji Kodi bunge lijitafakari pamoja na Raisi mwenyewe
Alichosema waziri sio sahihi
Mfano.mimi nimeingia bungeni Leo Naona Kuna Sheria iliyopitishwa huko nyuma sio sahihi lazima nitaipinga bungeni Ukiniambia nilitakiwa kujadili wakati inapitishwa sio kweli.Kuna Sheria mfano zilipitishwa na wabunge Miaka ya sitini huko wakati hata wabunge wa Sasa...
Mabilionea wengi hupata utajiri Kwa maskini kama hujui Sababu ndio wengi
Mfano watengeneza simu wanajua population kubwa maskini duniani wanahakikisha wanatengeneza simu ambayo huyo maskini lazima anunue
Billy Gates billionea ataimba ohh Kuna nchi maskini duniani Lakini atahakikisha bidhaa...
Kwa mawazo hayo Ina maana wamerudi nyuma kwenye uchumi wa kujikimu sio wa kimataifa
Ni sawa na mtu wa kijijini anayesema sihitaji kulima zaidi nipate Hela zaidi wakati Nina chakula tele Cha kula sihitaji kununua niuze nipate pesa ili iweje wakati Nina vyakula kibao ghalani na nikihitaji...
Marekani bidhaa zake anajikita hasa soko la high class hivyo production yake haijikiti sana kwenye mass production Kwa ajili ya Dunia nzima class za chini .Mchina kajikita kwenye mass production Kwa ajili ya low class ambao wako wengi Dunia nzima ndio majority ya Dunia kuhakikisha wanapa bidhaa...
China wafanyabiashara wadogo na wenye viwanda vidogo ndio wafaidika biashara za kimataifa tofauti na Marekani.Biashara ya kimataifa imeshikwa na wafanyabiashara wachache sana akina Billy Gates,Musk nk hawazidi 20 Hao wauza ma Boeing nk
China tofauti faida inaenda Kwa wengi wakati USA inaenda...
Lisu anasema sinhaki mzanzibar kugombea Tanganyika wakati Mtanganyika hawezi gombea Zanzibar Sasa huyo Mwalimu ni Mzanzibar mia Kwa mia Kwa Nini Chadema walimpa kuwa mgombea ubunge Kinondoni Tanganyika na sio kumpa ugombea ubunge kisiwandui au jimbo lolote Zanzibar ? Kwa Nini walimpa...
Tena Lisu kama bosi wa Sheria Chadema aliidhinisha Hilo
Halafu akiwa jukwaani utasikia anapinga CCM ikifabya mambo kama hayo kweli nyani haoni
.........
China Kuna vitu kamzidi marekani na marekani Kuna vitu kamzidi USA mfano ukija kwenye biashara na Africa Mchina kamuacha mbali marekani huwezi Kuta bidhaa za marekani nchi nyingi za Africa .Bidhaa za China ziko Kila mahali mijini na vijijini Africa .Mfano wewe binafsi una bidhaa Gani ya...
Fani mbili zinazoongoza kulalamikiwa na wananchi kitaifa Kwa uovu ziko mbili Idara ya Ardhi na mahakama
Hao ndio vinara wanaongoza kulalamikiwa na wananchi
Kesi kuwa mahakamani sio Kichaka Cha kukitumia Kwa maovu.Mtu kesi imeisha kutoa tu hati ya judgement inachukua mwaka mzima mtu...
Halafu Kuna kitu Cha kuchekesha washauri wengi wa ndoa Huwa wanaume wakishauri jinsi mke Bora anavyotakiwa kuwa!!!!! Kuanzià mashehe,wachungaji na ma Padre .Wote wanaume ndio hujitia watoa ushauri nasaha kuwa mke mwema aweje
Taratibu Gani watu wanalia
wapi unataka watu walalamike wapi?
Kwa taarifa Yako mahakimu kibao wameshawajibishwa na mahakama baada ya wananchi kulalamika Kwa Makonda na ikathibitika kweli
Mihimili wa mahakama pia Kuna watu wanachemka huko .Na wananchi mashahidi .Hakuna Cha kujiificha nyuma...
Makalla Mjinga Fulani hivi
Kero za wananchi ziko kwenye mihimili yote ikiwemo mahakama .Kazi ya chama tawala ni kudikiliza kero za wananchi na kuzitafitia ufumbuzi ikiwemo kutoa msaada wa kisheria au kuzipeleka Kwa uongozi wa mahakama
Uongozi wa mahakama utajuaje kama Kuna kero Kwa wananchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.