Bongo ndio ishu, ila ulaya kitu cha kawaida sana..,wachezaji na wasani wengi sana wameoa wanawake waliowazidi umri.
Ukianzia kwa legend Zidan mwenyewe!
kutokana na kauli hiyo, ningeshauri wanafunzi wote wa elimu ya juu na wanaotarajia kuja kupata boom waandamani ili serikali ipunguze burget ya wabunge kuwalipa posho na mishahara mkubwa kwasababu wengi wao wanatumia kuwahonga wasichana wakiwemo wa chuo na vibenten.
Kabla ya kuja waziri magari yalikuwa yanapita Kibamba karibu wiki yote hii kwa jinsi barabara ilivyokuwa mbovu..,jana waziri amekuja ilichongwa usiku kucha.
Nani kakwambia ile barabara kuna watu wanahitaji fidia..,barabara ya Mpigi Magohe ina mawe yamewekwa toka zamani hata ukipita utayaona haina cha fidia wala nn..,sema kuna kitu hakipo sawa pale.
Jana waziri alikuja kukagua daraja la mto Mpiji, barabara ilichongwa usiku kucha na haijawa kuchongwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.