Search results

  1. N

    Msemaji Yanga kazidisha utani. Hebu tazama picha na maelezo

    Subiri presha ya nini
  2. N

    Msimu huo unaisha, je wewe shabiki umeweka shingapi kwenye akaunti zako?

    Ikuingizie fedha namaanisha jala,jiwe,jax,mpunga,maokoto
  3. N

    Msimu huo unaisha, je wewe shabiki umeweka shingapi kwenye akaunti zako?

    Nawasalimu nyote. Hamjambo hapooooooo!! Hahahaaaaa. Ok twende moja kwa moja kwenye hoja,ni hivi MISIMU mbalimbali ya ligi hapa duniani hiyooo inaisha ila mingine bado inaishia. Nina swali dogo tu halihitaji kwenda shule ili ujibu linahitaji akili za kawaida tu.nauliza hivi MISIMU MBALIMBALI...
  4. N

    Za ndaani: Sakata la Inonga na Simba limefikia hapa

    Wachezaji wengi wa Congo wanavituko sana rejea Fiston mayele Juma shaban Yannick bangala Shishimbi Teacher Hao wote walianzisha migomo ya kijinga
  5. N

    Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

    Life is not fair Najituma wewe aisee mpaka sasa nimesave laki 5 tena kwa kujibana sana,nyie mnatoa pesa wapi
  6. N

    Kwa mshahara huu ungekuwa wewe ungebaki na shilingi ngapi kila mwezi?

    Aisee kwenye miti hakuna wajenzi,unampeleka mtoto English medium ili agundui nini?? Hiyo ela ni nyingi sana kwangu
  7. N

    Mabanda ya kufuga Nguruwe Moshi yanakodishwa

    Na Naweza kuongeza mengine akuna wezi. Usalama upo
  8. N

    Mabanda ya kufuga Nguruwe Moshi yanakodishwa

    Hakuna wezi?sitaki kuajri mtu mwenyewe nazama,he naweza kuongeza mengine maana naona kuna nafasi
  9. N

    Benchika kwenda kumuuguza mkewe, swali lilipo je wasaidizi wake pia wameenda kumuuguza shemeji yake?

    heyyyy sawa wanasimba tumekubali benchika kwenda kumuuguza mkewe, swali lilipo je wasaidizi wake pia wameenda kumuuguza shemeji yake?? tunachanganyikiwa shagala bagala
  10. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Hizo ni story za kwenye vitabu mbona Muhammad hajafufuka,au yeye sio mzungu??
  11. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Sawa tumepotoka je wewe unayeabudu watakatifu hujapotoka??
  12. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Itabidi ufanye uchunguzi utupiwe majini then uhakikishe kweli majini yanatoka
  13. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Kwani wazee wetu waliomba nini zamani??
  14. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Mama Maria ni nani??hao tuna wasoma kwenye biblia sio mizimu?? Wakina petro,musa,Paulo tuelekezeni tu
  15. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Nataka majibu maana waafrica sijui aliyeturoga??tunazarau vya kwetu kazi kukumbatia vya wazungu
  16. N

    Unayesema tusiabudi MIZIMU hawa mnaoabudu nyie sio mizimu?

    Habari, Afrika tumekuwa kwenye kiza kisichojulikana kwa miongo kadhaa, wachongaji wengi utasikia wakisema msiabudu mizimu ya mababu zenu, mara mizimu inaleta nuksi, mara watu wamefungwa na mizimu ya kwao. Nauliza hivi huyo YESU SIO MZIMU? MAMA MARIA SIO MZIMU? WATAKATIFU TUNAWAOMBA...
  17. N

    Nisaidieni kwa hili

    👍👍👍
Back
Top Bottom