Search results

  1. tss

    Nipo njia panda

    Wakuu ule msemo wa usikosee kozi ya kusoma unanitesa nipo njia panda je kozi ipi nzuri ya afya ya kusoma kati ya hizi :-radiology, pharmacy au medical lab
  2. tss

    Kwa matokeo haya aende kozi gani MUHAS?

    Habari, Nina mdogo wangu amesoma advance kombi ya PCB na matokeo yapo hivi; Physics-C, Chemistry -B na Bios-B. Je, aende Pharmacy au Radiology na kwa matokeo hayo si anaweza pata Muhimbili?
  3. tss

    Intern pharmacy

    Je, ukimaliza shahada ya famasi na ukianza mwaka wa intern unakuwa unalipwa kiasi gani na Serikali?
  4. tss

    Mfamasia ana uwezo wa kusimamia famasi ngapi kwa kutumia cheti chake?

    Habari Wana jamvi, Hivi mfamasia anauwezo wa kusimamia pharmacy ngapi Kwa kutumia cheti chake, na je majukumu yake ndani ya hiyo pharmacy ni kukaa humohumo na kuuza dawa au ni yapi? Na mfamasia mwenye diploma akitaka kufungua pharmacy na yeye mpaka atumie cheti Cha mfamasia mwenye degree. Na...
  5. tss

    Mwenye diploma ya pharmacy

    Habari Wana jamii ,Mimi nilikuwa nauliza kama unadiploma ya pharmacy je ukitaka kufungua pharmacy yako binafsi itabidi mpaka uweke cheti Cha mfamasia mwenye degree,na je cheti Cha mtu mwenye diploma anaruhisiwa kutumia cheti chake kusimamia duka la dawa hata kama Hana degree.napenda kuwasilisha...
  6. tss

    Mlitumia njia gani kupata Scholarship india?

    Habari wakuu, Hivi kwa wale waliosoma India Kwa ngazi ya degree Kwa kudhaminiwa Kila kitu nilikuwa naomba kujua mbinu gani iliwasaidia kupata scholarship. Scholarship walipata vipi na je, scholarship lazima ulipie fedha ndo upate?Na je, ni pesa kiasi gani inahitajika ili uweze kuomba...
  7. tss

    Diploma in Clinical medicine vs banchelor in cardiovascular technology

    Hello habari, Kwa aliyesoma kozi Moja wapo kati ya hizo ipi inasoko Kwa Tanzania,na ipi ni rahisi kujiajiri,je kiwango chao cha mshahara. Kwa ajira ya Serikali kipoje.
  8. tss

    Cardiology vs radiology

    Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha
  9. tss

    Cardiology vs radiology

    Ipi inatambulika Tanzania ,na ajira zake zipoje ,nawasilisha
  10. tss

    Kozi ya cardiology

    Habari wakuu,kwa anayeijua hii kozi Kwa Tanzania ni chuo gani wanaitoa hii kozi na je ili uwe cardiologist unatakiwa uwe na vigezo vipi,asanteni
  11. tss

    Nchi gani ni nzuri kwa kozi za afya na gharama ya chini kwa mwanafunzi

    Habari ndugu zangu ,Mimi ni mhitimu wa kidato Cha sita,Katika maisha yangu ya elimu nilikuwa natamani niwe daktari wa moyo( cardiologist) sasa matokeo yangu so mazuri kivile kwa PCB nina phys-E,chem-D na bios-C,sasa Kwa elimu yetu ya Tanzania physics nmeanguka kw ajili ya kukidhi vigezo vya...
Back
Top Bottom