Kama ilivyo kawaida JamiiCheck imekuwa ikifuatilia mambo mbalimbali na kuleta mrejesho kama ni kweli au si kweli.
Mimi leo nina jambo ambalo naomba lifuatiliwe na kuleta majibu kama ni sahihi.
Kuna jambo ambalo limekuwa likizunguka kuhusiana na sarafu ya kimtandao, wanadai kwamba sarafu hiyo...
Shule ya Msingi Ngingama, yenye wanafunzi zaidi ya 400 iliyoko wilayani Nyasa, mkoani Ruvuma ina walimu wawili wa kuajiriwa na mmoja wa kujitolea, hivyo wanafunzi wanatumia muda mwingi kucheza badala ya kusoma.
Kutokana na changamoto hiyo, wazazi, wanafunzi na walimu wameomba walimu waongezwe...
Habari wana JF, kumekuwa na link ikisambaa ikijieleza hivi [emoji117] JE WAJUA?
Mamilioni ya Watanzania wana namba za vitambilisho vya NIDA lakini hawana vitambulisho vya NIDA. Tembelea: NIDA Online Copy sasa ujitapatie online copy ya kitambulisho chako bure
Hii link hata mimi nimekuwa mhanga...
Habari ndugu wana JF,
Mmimi naomba kujua umuhimu wa kuhakiki vyeti RITA, kwasababu hadi leo hii sijajua maana ya kufanya hivyo.
Maana vyeti wanatoa wao lakini pia wanahitaji kuhakiki, kwahiyo wanavyotoa vyeti zile taarifa huwa hawahifadhi au wakati wa usajili wa cheti husika hawawezi kuhakiki...
Wakuu, ambao mnakijua/ mmesoma Chuo cha Mwalimu Nyerere Kigamboni, pale niliona watoa Elimu kuanzia ngazi ya certificate hadi Masters.
Sasa katika kuangalia kozi zinazotolewa pale, niliona hii "Management of Social Development" kwa ngazi ya degree. Katika kufuatilia katika vyuo vingine sijawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.