I’m a thirty years old, Male, living in Dar es salaam, Tanzania and a graduate of master degree in project planning and management.
I’m proficient in;
Baseline study
Proposal development
Strategic planning
Monitoring and evaluation
Resource mobilization
Project risk management
Reporting and...
Habari za jioni ndugu zangu,
Mimi ni kijana wa kiume, miaka 30, naishi Dar es Salaam na mhitimu wa shahada ya kwanza (bachelor degree) ya elimu na shahada ya umahiri (master degree) katika mipango na usimamizi wa miradi.
Baada ya kumaliza shahada ya kwanza nimefanya kazi kama afisa masoko na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.