HABARI WAPENDWA: NAOMBA USHAURI JUU YA SUALA LIFUATALO:
Taaluma yangu imeniwezesha kukutana na wanafunzi wa ngazi mbalimbali wenye ndoto na nafasi za kusoma/kuendelea na elimu ila kutokana na changamoto za kifamilia na kipato cha wazazi wanalazimika kutafuta misaada.
Binafsi nimefanikiwa...
Habari,
Naomba msaada kwa yeyote anayefahamu masuala ya Lishe. Nina tatizo kwa baadhi ya vyakula vinanisumbua mno hasa mboga za majani. Nikila naendesha mno.
Msaada tafadhali
Habari Madaktari/ wataalamu wa afya na kinga.
Wazee wangu wana umri wa utu uzima sasa 65-70s na wote wana shida sana ya kuumwa na miguu. Mzazi wa kiume anashida pia ya magonjwa ya moyo na pia ni mtumiaji wa dawa kali za presha. naomba kujuzwa endapo naweza kupata dawa ama ushauri wa kuweza...
Nipongeze idara ya hali ya hewa kwa kazi kubwa wanayoifanya,
Kwa hali ya hewa ilivyo kwa hapa Korogwe na kulingana na uzoefu wa hivi karibuni juu ya athari za mvua zinazoendelea kunyesha, ni vema wasafiri wanaotumia barabara kuu ya Arusha Dar kupitia Korogwe wakachukua tahadhari kutokana na...
Wataalam naomba msaada wenu,
Ninayo Isus mini laptop inazingua sana kwenye keyboard. Mfano unaweza kubofya kifungo cha herufi U ikakurudisha kwenye start menu. Unaweza kubofya kifungo cha herufi X kikafungua browser.
Hii shida inasababishwa na nini?
Kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha, kumekuwa na mkwamo wa safari haswa kuanzia Korogwe Mjini ambapo leo 26/10/2019 barabara hiyo imefungwa na kusababisha usumbufu mkubwa kwa wanaosafirisha huduma, bidhaa na watu.
Hii ni kutokana na kipande cha barabara ya Segera-Korogwe kuwa na maeneo...
Samahani naomba ama mwenye ndugu au anayesoma mwaka wa kwanza au miaka ya mbele anipatie mawasiliano yake nna shida nahitaji msaada. Mjomba wangu amepangiwa chuo kwa mwaka 2018/2019
Naomba kujuzwa ni mashine gani nzuri kwa ajili ya kutengeneza risiti, printer za karenda na za tshirt, nikipata picha za mashine hizo nitashukuru sana. with thanks
Kwa wale wanaohitaji kuomba nafasi za udahili katika vyuo vikuu kwa kupitia mfumo wa udahili wa pamoja NACTE sasa hawataweza kufanya hivyo hadi Mwezi May mwaka huu baada ya matokeo ya kidato cha sita 2016 kutoka....
Habari kamili iko hivi:
TAARIFA KWA UMMA
TAREHE 11 MACHI 2016
Baraza la Taifa...
Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania Mheshimiwa Dr. John Pombe Magufuli amefuta hati za mashamba matano makubwa yaliyokuwa na hati za miaka 99 chini ya umiliki wa wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ambayo yamebainika kuwa hayaendelezwi na kusababisha baadhi ya wananchi kuathirika kwa kukosa...
Naomba kushauriwa kuhusu jambo hili. ninalo group kule facebook lenye member zaidi ya elfu kumi na kila siku ninaongeza takriban wanachama mia moja. nawezaje kunufaika kibiashara na hili group?
Ilikuwepo hadithi moja ya fisi iliyozua kisa cha "Tamaa ilimponza fisi" Mnyama huyu alialikwa kwenye sherehe mbili tofauti na zote zilifanyika kwa wakati mmoja. Fisi hakuwahi kuwa na busara na alipokuta chakula katika sherehe ya mwanzo hakijawa tayari alikwenda kwenye sherehe nyingine ili kuwahi...
Naendelea kujiuliza maswali ambayo sajapata majibu, labda nyie wenzangu mnayo na mnisaidie kujibu....
Hivi waziri wa sasa ambaye ni waziri asiye na wizara maalum naye anaongea bungeni? (kujibu maswali), Je, ana ofisi ambazo zinashughulika na masuala mbalimbali ya utawala katika nchi hii?? Je...
Habari kutoka Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro zinasema kwamba Mwanafunzi MWAJUMA A. VUZO wa kidato cha Tatu katika shule ya sekondari Makanya amepigwa na baba yake mzazi hadi kusababishiwa maumivu makali na hatimaye Jumamosi ya tarehe 14/2/2015 alifariki dunia na kuzikwa leo 16/02/2015...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.