Search results

  1. M

    Adhabu ya kujihusisha na Mapenzi ya Jinsia moja Tanzania ni kifungo cha Miaka 30 Jela

    Kwa ziara Ile ya Mama kwenda Vatican , hiyo itabaki kuwa sheria tu lakini kwenye vitendo ni ngumu . Nimekaa paleeeee ............. Niite...........
  2. M

    Kuna siri nyingi zimefichika kwa mamillioni ya watu duniani kote, Afrika ndio balaa. Je, nifanyeje ili watu wapate kunielewa?

    Habari Wana JF ! Ni hakika Kwamba ni mambo (Siri) mengi yamefichwa Kwa mamillion ya watu Duniani kote , lakini ukijaribu kuwaambia watu Ukweli HAWAKUELEWI . Ni hivi Ulimwengu huu wa sasa ulijengwa Kwa mifumo dhabiti na ma - elites wa Dunia hii tangu zama za zamani sana. Hivyo namna ambavyo...
  3. M

    Aliyeweza kuimudu Tanzania ni Hayati Magufuli tu? Mbona tunakwama sana?

    Licha ya kuwa hakuweza kuniajili kutokana na sera zake . Lakini pia hakuishia hapo , akaifungia kampuni iliyoniajiri niweze kuyamudu maisha . HATA HIVYO BADO JPM ALIKUWA MWAMBA WA AFRICA .
  4. M

    Ilianzia Ulaya na Marekani Makanisa kukosa waumini na kufungwa. Kati ya Misikiti 75,000 nchini Iran, Misikiti 50,000 imefungwa baada ya kukosa waumin

    Lakini Bado Siri hii haijajulikana Kwa wengi ila kiuhalisia DINI ulikuwa ni mchongo tu Ma - elites wa Dunia hii . Mabwana wapo wanaplan mfumo wa maisha Kwa vizazi vingine vijavyo . Mfumo wa Dini ulipangwa makusudi Kwa kizazi hiki na vizazi kadhaa nyuma . YAANI SIJUI KWENDA MBINGUNI , MARA...
  5. M

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Behind your president there is another president who controls your president secretly . The elites of this world are preparing the life style of the generation to come . Even your life style in your generation was planned many generations ago . Every thing in our generation was planned as it is...
  6. M

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    This is spiritual battle
  7. M

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Umewahi kugombana na Mtu akiwa ameshika mpini wa panga na wewe ukashika makali ? Ndivyo Dunia ilivyo , there are things you can't change at all in this life .
  8. M

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Bangi ni Biashara ya wakubwa , hivyo serikali kuipinga haimaanishi inakupenda wewe mwananchi , lahasha !
  9. M

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Siyo kweli hata kidogo . Nyuma ya serikali yako unayoiona wewe kuwa Ina nguvu Kuna serikali isiyoonekana Kwa macho yako yenye nguvu zaidi . Marais wengi hawakubaliani na huu uovu lakini hawana namna Kwa sababu na wenyewe wanaongozwa na usiowajua wewe . BAADA YA KUSEMA HIVYO , AFRIKA HAINA RAIS...
  10. M

    Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Vimelea vya ushoga vimepandikizwa katika vitu vingi ... No one is safe . Pia ni amri imetolewa Kwa Wakuu wa nchi zote Duniani kutopinga hizi ndoa labda uwe na misimamo binafsi kama Putin , JPM , Mugabe n.k lakini Kwa viongozi wetu Africa walio wengi Wana uchu wa madaraka . Nafasi zao ni Bora...
  11. M

    Dark days 17/03/20...

    Mr born in town ni nguli wa freemason East Africa , so ana guarantee iliyozidi upeo wako .
  12. M

    Dark days 17/03/20...

    Kama Deep informer kweli ni Mzazi mwenza ... No one is safe in the company axcept the Old CEO
  13. M

    Dark days 17/03/20...

    Kama na jicho lako la tatu haliwezi kuona , basi kamwe huwezi kuona chochote na ukakiamini .
  14. M

    Dark days 17/03/20...

    How the Old Boss became so powerful compared to other bosses before and after ? The company shall be possessed by Whom one after the death of Old Boss?
  15. M

    Afrika ndiyo bara pekee lenye familia moja iliyo na watu wenye kuabudu madhehebu tofauti kila mmoja akimtafuta Mungu

    Binafsi ni Uzi mzuri wenye kitu Cha kutafakari ndani yake . TRUTH IS BITTER
  16. M

    The truth about world religions

    Hello JF Members ! Let me share the results of my research titled "Who created Religions and for Which Purpose ?" In my life almost 15 years up date , I had been asking myself many questions about this dominating Systems called RELIGIONS . These are some few questions ; 1. Who Created Religions...
  17. M

    Rais Samia aalikwa na Baba Matakatifu Francis Mjini Vatican kwa mazungumzo rasmi ya siku mbili

    Agenda kuu : Ndoa za jinsia moja , Agizo la Papa litakuwa " Mama hakikisha ndoa za jinsia moja zinashamiri Kwa Kasi sana " . Lasivyo huna urais 2025 . Utasikia , Sawa Baba , nitajitahidi katika Hilo
  18. M

    Madhambi ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere

    Bado Dunia Kwa ujumla Ina Siri nzito sana . Haya ya Hayati ukizidisha na mambo ya Marais wote wa awali Duniani kote ndiyo unapata mjumuisho wa Siri ya Dunia hii . Mambo uyaonavyo sivyo yalivyo . Au Ukweli Unaodhani ndiyo Ukweli , siyo kabisa . KUNA SIRI KUBWA SANA NA NZITO MNO ILIYOCHINI YA...
  19. M

    Mioyo ya Watanzania inaumia kwa uchungu mkubwa inaposikia habari za Ubadhirifu wa Fedha za Umma

    - Baba wa Taifa aliukemea ufisadi Kwa Vitendo Rais Mwinyi aliukemea ufisadi Kwa Vitendo Rais Mkapa aliukemea ufisadi Kwa Vitendo Rais Kikwete aliukemea Ufisadi Kwa Vitendo Rais Magufuli aliukemea ufisadi Kwa Vitendo Kwa mujibu wako , Rais Samia anaukemea ufisadi Kwa Vitendo . Hivi hujioni...
  20. M

    Mioyo ya Watanzania inaumia kwa uchungu mkubwa inaposikia habari za Ubadhirifu wa Fedha za Umma

    Huu Ujasiri wa kusema hivi unautoa wapi Mtanzania mwenzangu ? Mimi Uchafu wa mama nimeupima kupitia chama anachokiongoza kilichounda serikali yake . Wewe usafi wa Mama umeupimaje ?
Back
Top Bottom