Habari Wana JF !
Ni hakika Kwamba ni mambo (Siri) mengi yamefichwa Kwa mamillion ya watu Duniani kote , lakini ukijaribu kuwaambia watu Ukweli HAWAKUELEWI .
Ni hivi Ulimwengu huu wa sasa ulijengwa Kwa mifumo dhabiti na ma - elites wa Dunia hii tangu zama za zamani sana. Hivyo namna ambavyo Binadamu anaishi Leo hii ndivyo ilivyopangwa na Wakuu wa Dunia hii .
Yaani, Mifumo ya uchumi , Siasa na Dini (Imani ) yote ni mifumo fake. Mifumo hii Ipo kuhakikisha Binadamu anatawalika na watu wachache sana ambao ndiyo wabeba Siri za Dunia hii. Yaani Mfumo wa maisha tuliyonao ulisharatibiwa Karne nyingi zilizopita
Mfano ;
-Katika historia ; HISTORIA tuliyonayo ni batili, imechanganywa na uongo mwingi ili tusijue Ukweli.
Yaani Katika Dunia hii Kila kitu kimegeuzwa uhalisia wake. Mwafrika utambulisho aliyonao siyo wa kweli, Mazingira nayo yamebadilishwa, Kilimo hakipo kwenye uhalisia, Biashara ni Giza Nene.
Swali langu ni Kwamba; AFRIKA tunajitihada gani ya kuitafuta kweli iliyofichwa Kwa miaka mingi inayotufanya tuwe Watumwa wa mataifa mengine. Ni Lini tunaachana na Imani za kutupeleka Mbinguni wakati siyo Mpango wa Mungu ?
Dah !.....
Ni hakika Kwamba ni mambo (Siri) mengi yamefichwa Kwa mamillion ya watu Duniani kote , lakini ukijaribu kuwaambia watu Ukweli HAWAKUELEWI .
Ni hivi Ulimwengu huu wa sasa ulijengwa Kwa mifumo dhabiti na ma - elites wa Dunia hii tangu zama za zamani sana. Hivyo namna ambavyo Binadamu anaishi Leo hii ndivyo ilivyopangwa na Wakuu wa Dunia hii .
Yaani, Mifumo ya uchumi , Siasa na Dini (Imani ) yote ni mifumo fake. Mifumo hii Ipo kuhakikisha Binadamu anatawalika na watu wachache sana ambao ndiyo wabeba Siri za Dunia hii. Yaani Mfumo wa maisha tuliyonao ulisharatibiwa Karne nyingi zilizopita
Mfano ;
-Katika historia ; HISTORIA tuliyonayo ni batili, imechanganywa na uongo mwingi ili tusijue Ukweli.
- Elimu tunayopatiwa siyo halisi, Ipo tu ili kumzubaisha Binadamu alizike na mambo madogo ambayo hayana global future yoyotE. Mfumo wa Elimu unaamliwa uweje na watu wachache sana. Yaani ; Kuna Maarifa nje ya Elimu tunayopata ambayo yamezuiliwa kujifunza. Uhasibu , udaktari, uuguzi, ualimu , uanasheria, N. K ni miongoni mwa taaluma za viwango vya chini sana Duniani .
- Mwanadamu kuamini kuwa Safari yake ni kwenda Mbinguni na wakati hayuko tayari kufa ili aende Mbinguni, huu ni uongo wa Hali ya juu sana . Mfumo wa Dini upo Kwa ajili ya kumfanya Binadamu awe Mtii mno Kwa wenye mifumo.
- Haitakuja Kutokea hata siku moja kuwa mifumo ya Siasa tuliyonayo ndiyo mwarobaini wa matatizo ya Binadamu ni impossible. Siasa zipo Kwa ajili ya kuwagawanya watu ili kuwatawala. Hivi umewahi kufikiria ni nini kingetokea Duniani andapo Mwanadamu ameamua kuigomea mifumo ya Dini na Siasa ?
Yaani Katika Dunia hii Kila kitu kimegeuzwa uhalisia wake. Mwafrika utambulisho aliyonao siyo wa kweli, Mazingira nayo yamebadilishwa, Kilimo hakipo kwenye uhalisia, Biashara ni Giza Nene.
Swali langu ni Kwamba; AFRIKA tunajitihada gani ya kuitafuta kweli iliyofichwa Kwa miaka mingi inayotufanya tuwe Watumwa wa mataifa mengine. Ni Lini tunaachana na Imani za kutupeleka Mbinguni wakati siyo Mpango wa Mungu ?
Dah !.....