hao wadau wana maslahi gani na ziara za kusikiliza kero hadi wajitolee magari? hao wadau wananufaika vipi kuzunguka na mkuu wa mkoa wa Arusha? leo kila mtu akiamua kutembea na wadau wake hali itakuaje mfano kuanzia diwani awe na msafara akiwa na wadau wake? sheri na kanuni za maadili ya umma...
wewe umechangia Kiasi gani mkuu. huenda wafuasi wake wengi ni masikini au wengi wame follow huko twitter kama wewe tu. Huenda wengine hawajapa hizo habari pia yote yanawezekana lakini mkuu kuchangia Milion 16. kwa masaa 24 sio kazi ndogo. Mishahara inaanza kutoka kuanzia leo huenda akafikisha 1B
kama ndio hivyo basi hata bima zifutwe maana unawachangia wenzio. na mabenki yasikopeshe maana haiwezekani mimi nitafute hela nije nihifadhi kwako na wewe ukawakopeshe watu kwa riba hela zangu. kila mtu atafute zake.
kwani demokrasia kwa tafsiri yako ni nini? kwani hawaruhusu watu wengine kugombea? mbowe huwa anapita bila kupingwa? nisaidie mkuu maana mimi nimezaliwa 2010
Tuambie mafanikio yake mkuu ni yapi. au umaarufu wa mitandaoni ndio tafsiri ya mafanikio? sio mbaya ukatuambia an kipato chake kwa mwezi na miradi aliyo nayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.