Haina mjadala tena huyo ndio yeye mwenyewe captain ambae pia ni CDO. Ukifika cheo cha captain unaweza kupewa jukumu ambalo ukitaka kufanikisha kitu unakuwa ni disguise. Yupo ambae aliwahi kuact kama kocha wa mpira kilichofata ni historia, yupo aliact kama muuza dagaa kigoma, mafuta ya mawese na...
Military actions are not for granted unless you want to go to hell. Usipende kujadili vitu kwa hisia kama kweli ulienda shule kujifunza namna ya kutumbua mambo. Hakuna anayeweza kuingia vitani kama ng'ombe kwa dunia ya leo ndio maana Marekani alionya Israel akijibu mapigo basi ayanywe mwenyewe...
Huwezi kupata taarifa rasmi kama huna independent mind kwa sababu kwenye media kuna biases nyingi sana. Maana yangu ni kwamba ukiwa umechukua upande ukikutana na taarifa tofauti ni zile unazotaka wewe utaona uzushi. Kwa mfano mgogoro wa mashariki ya Kati ni sehemu yenye propaganda nyingi sana...
Hufahamu kuwa kuna media bias pia, mfano aljazera wako symphasized na palestine unaweza kuwa misinformed kama huna independent mind. Misconception inatokea mara nyingi ukiwa unataka taarifa za upande mmoja.
Sina maelezo mengi wote wenye akili timamu tumeona biasness, hypocrites, na double standard nyingi kwenye huu mgogoro. Media coverages ni full of biasses kila mmoja amechukua upande, je nani anastahili huruma. Alianza kushambuliwa israel kisha akajibu mapigo je who deserve sympathy.
Wewe dogo unaakili au ulienda shule kujifunza ujinga, unafikili jeshi la wananchi hajui mahitaji ya technologia ya vita, nenda kikosi cha mzinga uangalie vijana wanafanya nini pale. Chuo cha maofisa TMA unafikili kuja wajinga pale, nakuambia sasa chuo cha maofisa kuna watu wanaakili pale wewe...
Vijana wengi wa Tanzania tuna shida katika kujadili mambo, mtu huna mafunzo yoyote ya kijeshi lakini unataka kuchangia. Note kuvunja matofari, kubeba magogo na shughuli zingine ni sehemu ya kuonesha ukakamavu tu wa cdo na wala si rangi halisi ya uwanja wa medani. Jeshi letu liko imara kimkakati...
Naomba kuwasilisha juu ya namna wacongo wanavyo kula na kunywa Tanzania bila kuhofiwa wala kutiliwa mashaka yoyote.
Yapo yanayosemwa kama wacongo ni ndugu zetu wa damu maana Tangu awali wameishi kwetu na kufanya shughuli zao kwa raha mstarehe.
Naomba kuelimishwa kuhusu majirani wengine wakija...
Wewe bado ni mtoto bado unasumbuliwa na arrogance, unazoziita academic paper bado ni uchafu kwa mtu mwenye rational mind huwezi kujisumbua kusoma vitu ambavyo ni full of bias. Ndio maana nimekuambia unapaswa kuwe adhered on the conceived reasonable arternative vinginevyo utachukua upande. Huna...
Umeshashindwa ndio maana unarukaruka kama mahalage, ulienda shule kujifunza ujinga. Hizo takataka nimeshazisoma hakuna objectivity ni full of conspiracy. Wewe una uwezo mdogo ndio maana umeshindwa kusupport allegations zako. Islamophobia imetokana na nini kama sio allegation kuwa muslim are...
Zingatia haya mambo unapotaka kujifunza geopolitics vizuri cha kwanza, revealing the issue, what evidence supports this idea, and what evidence is against it's being true?
Kitu cha pili kuzingatia, conceiving reasonable arternative, what might be another explanation or view point of situation...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.