Kama yuko kwenye prep hawezi pewa PEP tena. Coz ameshajikinga kabla ya hiyo risk kutokea .Prep inatumika ilikukufanya usiwe na uwezo wa kuambikizwa hatautapo kua kwenye risk. kama yeye anatumia prep aendelee na dose kawaida kabsa kama hapo awali.
Kwa uelewa wang PEP na PREP dawa ni moja (TLD) ila zinatofautiana matumizi.
PEP ni 72 hrs baada ya kua exposed kwenye risk
PREP inatumika usually 6 months na inatumiwa kwa watu ambao wao wapo kwenye risk ya kupata HIV mda wowote mfano. Wadada wanao jiuza. Watu wanaoishi na wenza walioathirika.
Meona matokeo ya pharmaceutical technicians ya lessen kwa waliofanya mthian October hayaridhishi hata kidogo kati ya asilimia 100 walofaulu ni asilimia 15 tu..!!shida iko wap kwa baraza au pharmaceutical technicians wenyewe?
Na njia zipi zitumike kusaidia kukuza ufaulu? Kwasababu inatokea watu...
Naomben msaada wa namna ya kurekebisha jina kwenye cheti na taarifa za nida. Cheti chang cha kuzaliwa kimeandikwa Anastazia.
With single " n" na nida pia nilifatilia kutumia taarifa za cheti cha kuzaliwa. Sasa shida imejitokeza. Pindi wazaz walipo niandikisha shule waliniandikisha kwa jina la...
Isaya 41:10
[10]usiogope, kwa maana mimi ni pamoja nawe; usifadhaike, kwa maana mimi ni Mungu wako; nitakutia nguvu, naam, nitakusaidia, naam, nitakushika kwa mkono wa kuume wa haki yangu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.