Mkuu Kalamu unajadili ukiwa umesimama kwenye uanaharakati na nationalism two factors which compromises objectivity.
Naomba usome hii
Gazeti la Guardian on Sunday la Septmba 14, 2011 lilichapisha habari kwenye ukurasa wake wa mbeli yenye iliyopewa kichwa cha habari: “From foes to partners: Tales...
Ili mtu afaidike na chochote katika uchumi au jambo lolote lazima mtu huyo ahusike na jambo hilo kwa namna moja au nyingine. Kwa kutambua hili, Tanzania imetunga sera na sheria ya madini.
Kwa mjibu wa sheria ya madini ya mwaka 2010 kifungu cha tano madini na umiliki wake viko chini ya Jamhuri...
Historia ya uchimbaji wa madini Tanzania
Madini katika Tanzania yameanza toka kabla ya kuja kwa wageni wa kizungu. Watanzania walitumia madini kama udongo wa chuma waliofua na kutengeneza zana mbali mbali. Aidha mfinyanzi pia ulichibwa na kutumika kwa ajili ya kutengenezea vyombo vya nyumbani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.