Huwenda ikawa hivyo, lakini kumbuka wao ndo walianza kunitafta na sikuwa na namba yao, na wao ndo wakawa wa kwanza kuleta mishe za mapenzi, anyway kosa ni kosa tu
Sijawahi kufanya ndugu yangu, na hata namba yake baada ya kuolewa sikuwa nayo kabisa. Ndo siku hiyo ya kwanza kuwasiliana nae na yeye ndo aliyenitafuta ndo ikawa hivi
Mimi ni kijana (me) umri23-25. Kuna mkasa umenitokea hivi karibuni, unanifanya nifikrie kujizuru, nahitaji sana msaada wenu naumalizaje.
Nina ndugu yangu mtoto wa mtoto wa shangazi (mtoto wa binamu yangu bila shaka) yeye ni wakike, umri wake ni kama wangu.
Mwaka2020 kipindi nakuja chuo...
Me kijana wa kiume (24) nimemaliza chuo mwaka huu, Nina mtaji wa m1.5 ipo kati ya biashara hii itanitoa;
(1) BIASHARA YA NAFAKA.
Ni biashara ambayo naipenda sana tangu zamani japo sijawahi kuifanya ila natamani siku moja nianze kufanya, nijikite katika uuzaji wa mchele kama bidhaa kuu vingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.