Huyu Bwana ameshauri. Hakulazimisha. Hapa anapima manufaa yanayopatikana kwa kumuaibisha mkeo.
Uzoefu unaonesha kuwa wengi wa waliowaaibisha waliachana wakarudiana au walisameheana na wengine waliitumia kama fursa ya mtaji.
Ukibahatika kumpata mgoni wako mtoe mtaji upunguze uchungu.
Ipi sahihi:
1. Kufariki au kufariki dunia?
Nahisi sahihi ni kufariki vinginevyo iwe kuaga dunia.
2. Kulala usingizi.
Nadhani kulala si lazima kuwa na usingizi.
Aliyelala akapata usingizi tuseme amesinzia.
Magari mengi aina ya van yanapoletwa nchini yanakuwa yamewekwa tairi/magurudumu yenye kipimo cha 165/70. Hiki ndicho kimeandikwa kwenye gari na.kwenye kitabu cha maelekezo (Owner's manual)
Baadaye naona.wengi hawaweki tairi/magurudumu ya kipimo hicho. Badala yake wanaweka 175, 185 nk.
Je hii ina...
Niliwahi kwenda kutoa pesa kwenye mashine.
Nina tabia ya kuhesabu kila nikitoa.
Nilitoa sh.400,000/=, nilipohesabu nilikuta sh.250,000/=.
Niliingia ndani nikawafafamisha. Baada ya siku mbili walinirudishia zilizopungua.
Jitahidi kila unapopewa bunda lililofungwa ujiridhishe.
Akitumia mashine...
Nina gari aina ya van.
Kwenye maelezo ya kitabu cha gari (owners manual) na vile vile ilivyokuwa kwenye magurudumu yaliyokuwa kwenye gari lilipotoka Japan, vipimo vyake ni 165/70 ×13.
Baadhi ya wenye magari kama langu wanatumia magurudumu yenye kipimo cha 175 na 185 badala ya 165.
Naomba...
Si kweli.
Zaidi ya mara tano nimeungwa bila hiari yangu. Kila nikitaka kujitoa haiwewezekani. Ukiwasiliana nao kupitia 100 au mhudumu ni bla bla tu.
Ninapowaandikia.barua pepe kuwa nitawapeleka TCRA ndipo wananipigia wakiwa wapole na lugha laini wakiomba radhi. Hapo ndipo wananitoa.
Hii na ile...
Matumizi ya mbolea hayafanani.
Matumizi ya samadi si sawa na mbolea za viwandani.
Nimeambiwa mbolea ya popo ni kali kuliko za wanyama wengine.
Inaelezwa kuwa ina naitrojeni nyingi.
Hata hivyo, hata mbolea za viwandani zinatofautiana kati ya moja na nyingine.
SA si sawa na Urea.
NPK/TSP si sawa...
Naomba ushauri/maelekezo ya namna ya kutumia mbolea inayotokana na kinyesi cha popo kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga kama nyanya, mshumaa, pili pili aina zote, bilinganya nk.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.