Search results

  1. Diversity

    SoC04 Uzinduzi wa awamu ya Nne wa Shindano la Stories of Change 2024, Zaidi ya Tsh. Milioni 50 Kushindaniwa

    Habari Mkuu, Tafadhali andika andiko lako kwenye Jukwaa la Stories of change 2024 badala ya kuliweka hapa lama comment. Pitia andiko hili litakusaidia Soma: Namna ya kuweka andiko lako ndani ya jukwaa la Stories of Change Asante
  2. Diversity

    Car4Sale Nauza Mazda Verisa No. EEX Milioni 13

    Habari Mkuu, Gusa sehemu hiyo imeandikwa Attach files kuweka picha zako. Tazama kwenye picha hapa chini:
  3. Diversity

    NADHARIA Nadharia mbalimbali kuhusu Covid-19 na chanjo zake

    Covid-19 ni janga ambalo lilitikisa ulimwengu kuanzia mwaka 2019. Virusi vya korona ni jamii kubwa ya virusi vinavyojulikana kusababisha magonjwa yanayoanzia homa ya kawaida hadi homa kali kama vile Homa Kali ya Upumuaji ya Mashariki ya Kati (MERS) na Homa Kali ya Mfumo wa Upumuaji (SARS)...
  4. Diversity

    Chat message

    Pia hauwezi kureply kwa kumark text fulani
  5. Diversity

    Chat message

    Testing
  6. Diversity

    Chat message

    Ipo vyema
  7. Diversity

    NADHARIA Huduma ya Pacemaker haipo Hospitali ya Taifa Muhimbili

    Baadhi ya wanachama wa JamiiForums wamedokeza kudai kwamba huduma ya Pacemaker haipo Muhimbili. Aidha, madai hayo yanabainisha kwamba wagonjwa wamekuwa wakiahidiwa kuletwa kwa huduma hiyo lakini mpaka sasa haijawekwa na kuna taarifa kuwa baadhi wamepoteza maisha kutokana na kukosa huduma hiyo.
  8. Diversity

    Dalili za ujauzito kuwa kwa mwanaume badala ya mwanamke; kiafya ikoje?

    Habari ndugu, Suala hili limefafanuliwa vyema hapa chini. - KWELI - Mwanaume anaweza kuonesha dalili za Ujauzito badala ya Mkewe Ahsante
  9. Diversity

    SI KWELI Mabehewa 30 na vichwa 2 vya treni za SGR mali ya TRC kupigwa mnada nchini Ujerumani

    Inadaiwa kuwa mabehewa 30 na vichwa 2 vya treni za SGR mali ya TRC vinapigwa mnada 25/11/2022, nchini Germany kufuatia mgogoro wa TRC na EUROWAGON Railways Limited (Turkey), iliyopewa kazi ya kukarabati na kutia nakshi. TRC wamelipa Sh. 23 bilioni (35% ya kazi). Inadaiwa kuwa Mkurugenzi...
Back
Top Bottom