Habari za wakati huu wanajamvi
Naomba nitoe utambulisho kwa kifupi tu,,,,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35 nina mke na watoto kadhaa ni mfanya biashara hivyo hulazimika kusafiri mara kwa mara hali hiyo imekuwa inaniladhimu kuwa mbali na mama watoto.
Katika kusafiri kwangu hivi karibuni...
Natafuta mke Binti au aliyezaa mtoto asizidi mmoja
Umri 27 hadi 35
Dini yoyote
Awe mtanzania
Awe mfanyakazi au mjasiliamali
kwa ambae yupo serious karibu PM kwa contact.
Kwa upande wangu mimi umri wangu ni 36 nimeajiliwa ninakipato cha kuweza kumudu kuhudumia familia pia ninao watoto wanne.
Wanajamvi naomba tujuzane kuhusu faida ya kumiliki gari hasa kwa watu wa kipato cha chini wakati huo wakiwa na changamoto nyingi na za msingi zikiwakabili ikiwemo kutokuwa na makazi (nyumba) na bima za afya.
Habari za jioni wana jamvi mm ni kijana wa kitanzania ambaye napambana na hili janga la umasikini, nina bajeti ya 50ml nahitaji kujenga Lodge ya kiwango cha kati Room zisizopungua 7 reception na counter vyumba vyote self, gharama za kiwanja pembeni, naombeni wajuzi mnisaidie kwa ushauri na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.