Nilipata ajali boda boda kagonga gari langu kwa nyuma na kusababisha uharibifu mkubwa tu. Sasa nashanga naambiwa eti kila mtu atengeneze chombo chake hii wanasheria humu ndani imekaaje? Msaada tafadhali
Habari wakuu
Imepita mwezi sasa sina kabisa hisia za kumchakata manzi wangu japokuwa nakaa nae getto moja,inafika muda hata afanyaje yaani kamanda hastuki kama mlinzi wa kiongozi wa nchi.Hali hii inanifikirisha sana chakustaajabisha nikienda kwenye ma manzi wangu wengine uchakataji unaendelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.