Search results

  1. SteveJr99

    Mjadala kwa wanaokataa Kuoa (Ndoa)

    1Timotheo 4:1-3
  2. SteveJr99

    Wife ameanza kuuza juice mtaani vipi nimruhusu au Nimpige marufuku

    Mh shida ya hawa watu bwana ni WADHAIFU SANA tena ANAVUTIA :D Yani we mwenyewe tu unaona hapa naenda kupigwa :D:D sa we ukirudi leo home mwambie hivi... Wewe huyo: Unajua mke wangu we ni fighter sana (unamvimbisha BICHWA) :D yani nakuelewa sana sema nini kale kampango ka kutembeza juisi...
  3. SteveJr99

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    (Mimi nachoelewa ni Shusho amepata shambulio la kiroho akashindwa kujinasua) Hapa naunga mkono kiuhalisi wakristo ambao wako karibu sana na MUNGU ndio wanapigwa vita kubwa sana coz wengi huwa wanajikuta wamedondoka kwa kusema wamesikia sauti ya roho ya mtakatifu ikiwaambia this and this kumbe...
  4. SteveJr99

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    Classes uliyo itathmini siyo aliyoimaanisha MUNGU..wewe umeitathmini classes kama uwezo wa kifedha/kiupeo/kielimu/kimwonekano nk. kutokana na thread yako lakini hapo kilichomaanishwa zaidi ni sifa za nafsi zaidi zinazobeba Character ya mtu kama upole,utu,hekima,kupenda ibada,utii,unyenyekevu...
  5. SteveJr99

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    jamaa ana mindset za mpinga kristo...yani katumia weakness ya shusho kuja kupotosha umma kuhusu ndoa...Ninachoamini SHUSHO is Human being can make a MISTAKE hata yeye anaweza kwasasa asijue kama anakosea coz Kazi ya shetani sometimes kujiugeuza malaika na kukuletea false massage kama aliyoletewa...
  6. SteveJr99

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    kisha akasema Watu waoane kwa kufanana(kwa classes). nambie kitabu gani sura ya ngapi na mstari wa ngapi
  7. SteveJr99

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    Bas imani yako na uelewa wako juu ya neno la MUNGU ni mdogo sana you need more teachings coz kwa hii thread yako definately you are AGAINST GOD. Kwa ushauri tu soma sana neno na Mungu na ulielewe vizuri hasa unapozungumzia issue za ndoa ambazo zipo very sensitive na zinahitaji IMANI ya kumjua...
  8. SteveJr99

    Anayofanya Christina Shusho ni matokeo ya Wanaume wengi kuoa Wanawake Watumwa wasio huru. Siku wakipata Uhuru wao hayo ndio hutokeaga

    Kabla sijasema kitu naomba kujua wewe uliyetoa mada UMEOA/HUJAOA nikimaanisha ndoa ya Kanisani/Msikitini??
  9. SteveJr99

    Je, ni kweli Adhabu ya Viboko inasaidia kuongeza Nidhamu na Uelewa kwa Mtoto?

    Kwa maoni yangu viboko viendelee kuwepo ila KWA KIASI si KWA KUTESA yaani mwalimu asichape kwa kutumia HASIRA bali Kwa KUONYA kwa sababu muda ambao mzazi hayupo na mtoto shuleni mwalimu ndo anabeba jukumu la malezi. Lakini hata maandiko ya BIBLIA yanakazia kuhusu hilo 1. MITHALI 22:15 Ujinga...
  10. SteveJr99

    Ukiwa mjinga ndio unaitwa “A caring and an understanding boyfriend”

    Ukiwa nice guy unafungua milango ya mwanamke kukuzoea yaani anaishi na wewe kwa mazoea na Mazoea yakishaota mizizi yanaleta kiburi na dharau na mwisho huua Mahusiano hivo Mwanamke mpende na mjali kwani hilo ni jukumu lako ila kamwe usiruhusu MAZOEA kwenye Yes iwe YES kwenye No iwe NO over.
  11. SteveJr99

    Onesha mapenzi yako wazi wazi kwa umpendaye

    ishi nao kwa akili :AmazingPls:
  12. SteveJr99

    Wanaume wakiacha usaliti kwenye mahusiano, wanawake pia wataacha

    Sio kweli ila ni tamaa na vishawishi
  13. SteveJr99

    Self love ndio nini?

    Hakuna mtu ambae kaumbwa hana wa kumpenda That's is a BIG LIER
  14. SteveJr99

    Self love ndio nini?

    Sex ni kitu kizuri kiafya na kisaikolojia ivo kama unapenda sio mbaya ila tambua kwamba kila kitu kinatakiwa kifanyike kwa kiasi kikishazidi tu hiyo ni ADDICTION So prepare yourself for consequences.
  15. SteveJr99

    Self love ndio nini?

    Self love Ni muunganiko wa maneno mawili inaanza SELF alafu LOVE ikiwa namaana kwamba kitu chochote chanya (positive) unachokifanya katika maisha yako mfano kiwe cha kukupa furaha, mafanikio, matumaini nk. kianze na wewe na si kutegemea watu wengine nikimanisha furaha yako, muonekano wako...
Back
Top Bottom