Nyumba na kiwanja vyauzwa Bunju B Sokoni 80m/=.
Kina title deed, 890 Square Meters, master, vyumba 3 vya kwaida, public toilet, garage, karibu na soko na barabara kuu ya Bagamoyo.
Bunju
Mzee Jaros
0754826668
0712168055
Kama kichwa cha habari kisemavyo. Nina mtaji wa Milioni 3. Walio serious na biashara, waaminifu, wapambanaji waje na IDEA tuzalishe 40,000/= kila siku. Iwe biashara halali tulipe kodi n.k.
KARIBUNI.
Toka walivyoanza "ku-date" Prince Harry na mlimbwende toka USA Meghan Markle, kumekuwa na maneno ya kibaguzi kwa Waingereza na hata baadhi wazungu pande nyingi Duniani ya kutisha na hata wenye ufalme Uingereza kuogopa "damu yao nyeupe" kuchafuka na "damu nyeusi".
Maneno na fikra zao yamemfanya...
Hasa kwenye mitandao, kuanzia "Shangazi", Miss Sarungi, Miss Ndosi, TLS (ndio), na "the so called" wanaharakati wa "Demokrasia" pamoja na vyama karibu vyote vya ukinzani wanakereka wakikusikia unayapenda na kuyazungumzia mambo haya mazuri, rais wetu JP Magufuli anayofanya, wanakunyamazisha...
Toka tukio la kusikitisha la kupotea/kutekwa kwa kipenzi cha wana-simba na raia wa kawaida wa Bongo kutokea, wengi wakiwemo hasa kina Zitto, @tundulissu, viongozi wengineo, mashabiki na wanachama wa vyama kinzani waliishitumu Dola na vyombo vyake vya usalama kwamba wanahusika moja kwa moja na...
Wanabodi, kuna namba hizi 0742 223 697 na 0742 580 263
Wanaweza kukutumia ujumbe ufuatawo..
TATUMZUKA
Hongera!
Umejishindia BONUS Ya Tsh.MILIONI 6 Katika Droo Yetu Ya Saa11. Kamp No.555111 Tafadhali Wasiliana Nasi 0742223697 Kwa Maelezo Jinsi Ya Kupata BONUS Yako.
TATUMZUKA Tunabadili Maisha...
Madereva wenzangu, faini tunazokumbana nazo kwa kipindi, nafikiri haijawahi tokea kwa miaka mingi mno.
Kweli makosa yanatendeka, rushwa hawataki, HAKUNA KUBISHA WALA KU CONTEST MAKOSA YAKO, AIDHA MAHAKAMANI WALA KWA TRAFIKI HUSIKA.
PIA HAKUNA KULIPA KIDOGO KIDOGO (INSTALLMENT), YAANI NI MZIGO...
KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE
Kuna wengi tu wame quote huu msemo..
Bujibuji mmoja wapo..
Je Mzee Mkapa, Mzee Kikwete na Mzee JPM wanatekeleza haya?
Tumeshuhudia kesi nyingi Jamuhuri inapomshtaki mtu au kampuni, aidha kuahirishwa mara kwa mara au kufutwa.
Je ni kutokana na uzembe, kutokuwajibika, kukurupuka au sababu tuna vilaza tu wa mashtaka pale?
Ina maana Dola inaajiri wanasheria wasio makini na hawajielewi au ni nini hasa?
Hili siyo...
Nun raped me and had my baby - The torment of a schoolboy victim | UK | News
Paul Jeeves
Edward Hayes wanted to lift the lid on sex abuse by nuns
He wanted to speak out over the Easter weekend to lift the lid on sexual abuse by
nuns and encourage other victims to finally come forward after...
Nawauliza wadau, kupata mkopo kwa Title Deed yako, lakini unatumia kampuni ya jamaa zako wa karibu...
Wenzangu wana kampuni iliyosajiliwa, wanafanya kazi vizuri tu, nataka kuwapa Title Deed yangu, ili tuchukuwe mkopo, tushakubaliana % nitakayowapa, malipo nafanya mimi sababu hati yangu...
Tumeshudia wizi, tamaa, uroho na ufisadi katika kila chama na serikalini, kuanzia...
Gugai na wenzake watatu wapandishwa mahakamani Kisutu, wasomewa mashtaka 43 Gugai na wenzake watatu wapandishwa mahakamani Kisutu, wasomewa mashtaka 43 via JamiiForums
Vigogo watano wa Shirika la Maendeleo ya...
JamiiForums yajulikana kuwa na wahenga, wenye elimu na maarifa yao...
Tumeagiza gari, toka 16th March, twataka kujuwa Storage charges Bandarini mpaka sasa zitakuwa kiasi gani...
Tutashukuru watakaotusaidia..
Asanteni
22.6m/- set for monthly innovative ‘green’ idea winners
BY DAILY NEWS REPORTER
12 APRIL 2018
Dar es Salaam online platform has introduced a sustainable social media platform (www.greenxprize.com) that allows lucky monthly project winners to walk away with $10,000 (approximately 22.6m/-)...
Ukisikia ma "Role Models" ndio hawa, wenye watoto wa kike na kina dada fuateni nyayo za huyu dada...
GENEVIEVE SANGUDI
South Africa
Managing Director of The Carlyle Group | Sub-Saharan Africa Fund
Executive Profile*
Genevieve Linda Sangudi
Managing Director,The Carlyle Group L.P.
Age :40...
Uraia wako, hakikisha una cheti cha kuzaliwa, cha wazazi, cha mabau na mabibi..na wajulikana na raia viongozi mtaani..
Hauja ajiriwa serikalini, hudaiwi na dola, mabenki..
Biashara zako hufanyi na dola, unatumia EFD na una vyeti vyote vya biashara, na unalipa kodi bila shuruti..
Haupo kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.